Kulitokea malumbano humu jamvini kwetu kwa watu ambao hawakuchaguliwa mwanzo na waliochaguliwa huku wengi wao kudai kwamba serikali isitishe kuchukua waliopata division four, naona sasa kimyaaaaaaa!!! na bado diploma ya juu sayansi/hisabati tar 22 watarusha yani humu ndani mtafunga mdomo tu. Dah hawa NACTE jamani wanamwaga majina kama njugu. Kila la heri kwa wenzagu wote Mungu akipenda tukutane UDOM....!