Mliosoma medicine mpite hapa nahitaji msaada.

Mliosoma medicine mpite hapa nahitaji msaada.

bwanamajo

Member
Joined
Mar 30, 2023
Posts
36
Reaction score
73
Nilisoma clinical medicine mwaka 2018/2019 nikaishia level 4 sababu ya changamoto za ada. Sasa nataka nirejee masomoni Ila nahitaji kusoma radiology .

Swali? Je inaruhisiwa kwenda chuo kingine kusoma radiology ama kozi nyingne za afya. maana nimekuwa nikiambiwa kuwa Bado mfumo unanisoma chuo nilichosoma awali clinical medicine
 
Nenda katerminate uanze upya. Ila pia naona dirisha limefungwa.
 
Nilisoma clinical medicine mwaka 2018/2019 nikaishia level 4 sababu ya changamoto za ada. Sasa nataka nirejee masomoni Ila nahitaji kusoma radiology .

Swali? Je inaruhisiwa kwenda chuo kingine kusoma radiology ama kozi nyingne za afya. maana nimekuwa nikiambiwa kuwa Bado mfumo unanisoma chuo nilichosoma awali clinica

Nilisoma clinical medicine mwaka 2018/2019 nikaishia level 4 sababu ya changamoto za ada. Sasa nataka nirejee masomoni Ila nahitaji kusoma radiology .

Swali? Je inaruhisiwa kwenda chuo kingine kusoma radiology ama kozi nyingne za afya. maana nimekuwa nikiambiwa kuwa Bado mfumo unanisoma chuo nilichosoma awali clinical medicine
Unaweza Anza chuo kingine ila inategemea kama ulishawahi sajiliwa nacte
 
Back
Top Bottom