MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Hizi Kauli za kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikufa 'Kimipango' nimeisikia muda tu hebu ngoja sasa nianze Kujiridhisha kutoka kwa Vyanzo vyangu aminika Vikubwa viwili vya Makao Upanga na Makao Oysterbay na nitaujua Ukweli wote.Wewe unadhani hadi wanamuua magufuri..ulitarajia watakaobaki wataachwa..wote wataaondolewa...ndo hivyo..kitaalamu mfumo huo unaitwa kukomoana
Acha mikwara bwana Mdogo ....mbona hiyo koneksheni huna! ID feki zinawapumbaza kiwa watu wot3 hatuwafamu!?Hizi Kauli za kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikufa 'Kimipango' nimeisikia muda tu hebu ngoja sasa nianze Kujiridhisha kutoka kwa Vyanzo vyangu aminika Vikubwa viwili vya Makao Upanga na Makao Oysterbay na nitaujua Ukweli wote.
Naona washiriki wa Kumuondoa Hayati Dkt. Mwendazake 'Kimipango' mnaanza sasa Kujitokeza, Kujihami na Kutisha Watu ambao huenda wakawa si tu wanawajua Physically bali pia hata Wake zenu pia Wanawabandulia mkiwa zenu busy Makao Makuu ya nchi Dodoma na Safarini Ulaya.Acha mikwara bwana Mdogo ....mbona hiyo koneksheni huna! ID feki zinawapumbaza kiwa watu wot3 hatuwafamu!?
Dogo lala acha kipaniki😅😅Naona washiriki wa Kumuondoa Hayati Dkt. Mwendazake 'Kimipango' mnaanza sasa Kujitokeza, Kujihami na Kutisha Watu ambao huenda wakawa si tu wanawajua Physically bali pia hata Wake zenu pia Wanawabandulia mkiwa zenu busy Makao Makuu ya nchi Dodoma na Safarini Ulaya.
Id kwa hisani wapenda uhuru wa maoni habari na demokeasia yakweli😃.Acha mikwara bwana Mdogo ....mbona hiyo koneksheni huna! ID feki zinawapumbaza kiwa watu wot3 hatuwafamu!?
Huna cha kujiridhisha yule bwana alikuwa na betri kwenye moyo. Ilipaswa aende service time to time. Yeye akatengeneza mgogoro fake na aliowaita mabeberu hakuweza kwenda tena ulaya.Hizi Kauli za kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikufa 'Kimipango' nimeisikia muda tu hebu ngoja sasa nianze Kujiridhisha kutoka kwa Vyanzo vyangu aminika Vikubwa viwili vya Makao Upanga na Makao Oysterbay na nitaujua Ukweli wote.
Magufuli ndiyo muasisi wa hii Vendetta. Tulieni sindano ziwaingie. Au mumesahau kuwa Magufuli aliyeua ma DED wapya zaidi ya 100 ku replace waliokuwapo kisheria.?Kuteua waliokataliwa Kiutendaji na aliyekuwa Bosi wako na Kuwaondoa katika Utendaji wale walioaminiwa Kiutendaji na Bosi wako.
Sasa naanza Kuamini kuwa ukifanya Kazi na Mtu mahala ( ofisi ) fulani si vizuri sana Kumuamini kwani huenda hata Maadui zako wakapitia Kwake na Kukuangusha na hata kukuondoa mazima.
Foolish vitisho vyako Kwangu vimeisha?Dogo lala acha kipaniki😅😅
[emoji23][emoji23]Dogo lala acha kipaniki[emoji28][emoji28]