Mliosoma Political Science / Public Administration hivi Kitaalam huu Mtindo uliopo Dunia ya Leo unaitwaje?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kuteua waliokataliwa Kiutendaji na aliyekuwa Bosi wako na Kuwaondoa katika Utendaji wale walioaminiwa Kiutendaji na Bosi wako.

Sasa naanza Kuamini kuwa ukifanya Kazi na Mtu mahala ( ofisi ) fulani si vizuri sana Kumuamini kwani huenda hata Maadui zako wakapitia Kwake na Kukuangusha na hata kukuondoa mazima.
 
Wewe unadhani hadi wanamuua magufuri..ulitarajia watakaobaki wataachwa..wote wataaondolewa...ndo hivyo..kitaalamu mfumo huo unaitwa kukomoana
Hizi Kauli za kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikufa 'Kimipango' nimeisikia muda tu hebu ngoja sasa nianze Kujiridhisha kutoka kwa Vyanzo vyangu aminika Vikubwa viwili vya Makao Upanga na Makao Oysterbay na nitaujua Ukweli wote.
 
Hizi Kauli za kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikufa 'Kimipango' nimeisikia muda tu hebu ngoja sasa nianze Kujiridhisha kutoka kwa Vyanzo vyangu aminika Vikubwa viwili vya Makao Upanga na Makao Oysterbay na nitaujua Ukweli wote.
Acha mikwara bwana Mdogo ....mbona hiyo koneksheni huna! ID feki zinawapumbaza kiwa watu wot3 hatuwafamu!?
 
Acha mikwara bwana Mdogo ....mbona hiyo koneksheni huna! ID feki zinawapumbaza kiwa watu wot3 hatuwafamu!?
Naona washiriki wa Kumuondoa Hayati Dkt. Mwendazake 'Kimipango' mnaanza sasa Kujitokeza, Kujihami na Kutisha Watu ambao huenda wakawa si tu wanawajua Physically bali pia hata Wake zenu pia Wanawabandulia mkiwa zenu busy Makao Makuu ya nchi Dodoma na Safarini Ulaya.
 
Dogo lala acha kipaniki😅😅
 
Acha mikwara bwana Mdogo ....mbona hiyo koneksheni huna! ID feki zinawapumbaza kiwa watu wot3 hatuwafamu!?
Id kwa hisani wapenda uhuru wa maoni habari na demokeasia yakweli😃.
 
Hizi Kauli za kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli alikufa 'Kimipango' nimeisikia muda tu hebu ngoja sasa nianze Kujiridhisha kutoka kwa Vyanzo vyangu aminika Vikubwa viwili vya Makao Upanga na Makao Oysterbay na nitaujua Ukweli wote.
Huna cha kujiridhisha yule bwana alikuwa na betri kwenye moyo. Ilipaswa aende service time to time. Yeye akatengeneza mgogoro fake na aliowaita mabeberu hakuweza kwenda tena ulaya.
Aliidharau Corona ikamfyeeèeeeka
Kifupi KIBURI NA USHAMBA VILIMPONZA
 
msiwe na papara kila mtu ataonja mauti,yatakuja kivyovyote vile,ila utayaonja tu,haijalishi umeuliwa na kitu gani mtu au maradhi, ni suala liachwe kama lilivyo hatuna uwezo nalo,hakuna mnachoweza kufanya mkamrudisha aliefariki.Ukifika wakati wako hata kama umelala hapohapo malaika mtoa roho anawajibika kwako.
Mlohai mtabaki kauliwa,kapewa simu kadukuliwa na maneno yenye hisia mengi pengine hata kusingiziana .
 
Magufuli ndiyo muasisi wa hii Vendetta. Tulieni sindano ziwaingie. Au mumesahau kuwa Magufuli aliyeua ma DED wapya zaidi ya 100 ku replace waliokuwapo kisheria.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…