Mliosoma St. Joseph Millennium, mnamkumbuka Simon Mbangakukela? Aliyekuja kusambaratisha utawala wa Kulwa (Daniel Maugo) na Doto (Zakayo Maugo)?

Mliosoma St. Joseph Millennium, mnamkumbuka Simon Mbangakukela? Aliyekuja kusambaratisha utawala wa Kulwa (Daniel Maugo) na Doto (Zakayo Maugo)?

username required

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
343
Reaction score
1,069
Hawa mapacha Daniel na Zakayo walisumbua sana hapo St Joseph Millennium mpaka pale alipohamia Simon Mbangalukela na kusambaratisha utawala wao japo haikuwa kizembe.

Mbanga alikuwa anajua sana ila tatizo lake kuu dharau nyingi kwa wenzake .

Tokeo la mwisho la taifa linatoka Daniel (Kulwa) alikuwa wa nne kitaifa akiwa na One ya 7 ,Simon Mbangalukela alikuwa wa 8 kitaifa akiwa na One ya 8 ,wakati Zakayo hakuingia top ten kitaifa lakini naye akipata single digit (one ya 9).

Ushindani baina ya hawa watu ulikuwa wa moto sana
 
Hao Zakayo na Dani ni shughuli nyingine, ufalme wao haujawahi kuvunjwa na mtu, afu fuatilia data zako vizuri Zakayo ndio Kulwa, Dani ndio doto. Ni kweli Dani alikuwa TO ila Zakayo ndio alikuwa best student darasani.
 
I know Zakayo personally, nimesoma nae pia Kibaha. He had no appetite for our education system, it's too redundant he said. He said he is too lazy kusoma vitabu vikubwa kama Chandi ila concept zote anazijua, muda wote unamkuta uwanjani. Nina uhakika kabisa jamaa angesoma hata kidogo uTO ulikuwa mfukoni
 
Saivi wako wapi, wanafanya nini na wana nini?
Msaada wao kwako na kwa jamii ni upi?
Kwani wewe ulipata ngapi na ulikua wangapi kitaifa?
 
Zakayo na Simon walifanya Chemical Processing and Engineering UDSM, mimi ni Daktari kwa sasa.
Tulifungua kampuni (Lishe360) ya kuzalisha na kusambaza bidhaa za lishe za watoto pamoja na kutoa elimu ya lishe kwa wazazi na walezi ambayo tuko wote watatu kama Directors
Pia utawala haukuwahi kuvunjwa😅
~Dr Maugo
 
Zakayo na Simon walifanya Chemical Processing and Engineering UDSM, mimi ni Daktari kwa sasa.
Tulifungua kampuni (Lishe360) ya kuzalisha na kusambaza bidhaa za lishe za watoto pamoja na kutoa elimu ya lishe kwa wazazi na walezi ambayo tuko wote watatu kama Directors
Pia utawala haukuwahi kuvunjwa😅
~Dr Maugo
Mbangalukela aliwasambaratisha kubali mkuu 😂😂😂😂😂
 
Zamani ushindani wa kielimu ulikuwepo tofauti na sasa.

Serikali imeshafuta mambo ya kutangaza TO na best student..

Imeona hayana maana. Dunia inataka practical sio theory

Nchi ina watu kibao wamepata A za physics na first class za engineering ila kujenga bwawa la umeme tu hawawezi mpaka tumewakodi wa misri na kuwalipa ma trilioni ya hela
 
Mbangalukela aliwasambaratisha kubali mkuu 😂😂😂😂😂
Fuatilia data zako vizuri mkuu, hao jamaa ni hatari. Hapo shule Dani aliongoza Form 2 NECTA, form 4 JECAS, form 4 TAHOSA na NECTA form 4 kwa darasa lao. Zakayo aliongoza exams nyingi za shule na yeye ndio alikuwa best student kwenye graduation. Mbangalukela alikuwa anafaulu hesabu kuwazidi ila hao jamaa wanapasua mabanda masomo yote 10.
 
In 2012, Daniel and Zakayo Maugo came to Msolwa St. Gaspare Bertoni for a while. Lots of anecdotal praises about their genius surrounded them. Then classes began. They were never interested in reading, nor did they seem stressed like most of us were with the volume of information that kept pouring in every passing day, as is typical of A-level. I never saw them studying. But they were at least listening when the teachers were teaching, and that without much interest. They were more interested in soccer discussions and playing it during sports time.

Rumors of their genius started to wane, and people began discarding them as being overconfident in a game they were unfamiliar with. But at least they stayed long enough to do the first midterms. One of them was in the top 5, the other in the top 10. This was a competitive class made up of many brilliant, talented, and hardworking students from different schools. Yet, these guys, with their lazy, laid-back approach to learning, left most of them in the dust.

It was the first time I came across prodigies of this caliber, and I wish they had stayed a bit longer so I could at least learn how these things be. But they quickly left for another school.

I hope that they will find something that catch their interests and force them to put those brilliant minds to good use and not settle in some ordinary jobs that will bore them to the bone.
 
Back
Top Bottom