username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
Hongerahatimae ma TO tumefikiwa
Mbangalukela aliwasambaratisha kubali mkuu πππππZakayo na Simon walifanya Chemical Processing and Engineering UDSM, mimi ni Daktari kwa sasa.
Tulifungua kampuni (Lishe360) ya kuzalisha na kusambaza bidhaa za lishe za watoto pamoja na kutoa elimu ya lishe kwa wazazi na walezi ambayo tuko wote watatu kama Directors
Pia utawala haukuwahi kuvunjwaπ
~Dr Maugo
Zamani ushindani wa kielimu ulikuwepo tofauti na sasa.
Fuatilia data zako vizuri mkuu, hao jamaa ni hatari. Hapo shule Dani aliongoza Form 2 NECTA, form 4 JECAS, form 4 TAHOSA na NECTA form 4 kwa darasa lao. Zakayo aliongoza exams nyingi za shule na yeye ndio alikuwa best student kwenye graduation. Mbangalukela alikuwa anafaulu hesabu kuwazidi ila hao jamaa wanapasua mabanda masomo yote 10.Mbangalukela aliwasambaratisha kubali mkuu πππππ