Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Acheni ujinga ninyi, kwanza mwanafunzi sharti amuamini mwalimu wa shuleni, then tuition baadae.
shule ya mchikichini wanafunzi inaonekana labda wanazembea kushuka chimbo au waaalimu wanawabania sijui,ilibidi wao wawe mfano siyo watu kutoka mbali ndiyo wanafaidi mchkdown.ndio maana mtu anaweza kaa na ndugu yake mwalimu na akafeli vilevile maana anachukulia mazoea kila kitu.ebwana wale jamaa wa mchikichini ni noma.henry ,hidem,osama ,sir muddy,mzuka na wengineo,na kuna mzee siwezi msaau kanipa kitu ambacho ni cha gharama lakini nimekilipia kwa chini ya elf hamsini.huyu mzee ni mzee mmoja yupo tuliani magomeni,waliosoma pale masomo ya biashara watakubaliana nami.kwa babu
babu anasala yake kila siku hiyo hiyo na haisahau hahasure kaka, babu wa turiani alikua vzuri, den lengo lilikua kufundsha and nt kumake profit. Do yo remember dis " wakule wanasikia, wa huku wanasikia, sijui ww hapa" tanx babu always kajenga msing wangu wa accounts vzuri, am proud 2day
Yes,Nimesikia anazikwa leo hii saa 7 ..DahNimesikia Amefariki. Kama kweli Apumzike kwa Amani. (Moody physics)View attachment 1624413
Maisha ni safari na wakati ni ukuta wajameniNilikuwa miaka ya 2006-2010 Mbuga alikuwa anajiita "The Computer",muddy alikuwa anajiita"German machine".............Hidden alikuwa anapenda sana kuzungumzia mapenzi...............miss those days at mchikichini