Mliosoma vyema Communication Skills na Public Speaking hii style ya Kuongea ya Abdul Nondo wa ACT-Wazalendo inaitwaje?

Hizo tabia hazihusu communication skills,bali ni issues za tabia zake binafsi,na anadhihirisha kuwa ni mgonjwa atafute mtaalamu wa saikolojia amshauri
 
Sisi wote ni wachumia tumbo tu.
 
Mbona hata we we ni unabwabwaja saana hapa mitandaoni, mbona mpaka leo CCM hawajakufikilia ata ubarozi wa mtaa wenuuu?? Au huwa umejaa pumba tupuu??
 
Mbona hata we we ni unabwabwaja saana hapa mitandaoni, mbona mpaka leo CCM hawajakufikilia ata ubarozi wa mtaa wenuuu?? Au huwa umejaa pumba tupuu??

Ningetaka siasa za vyeo ningeshapata, kwa bahati mbaya mimi napenda siasa kwa hobby, na sio kunitoa kimaisha maana niko vizuri.
 
Ningetaka siasa za vyeo ningeshapata, kwa bahati mbaya mimi napenda siasa kwa hobby, na sio kunitoa kimaisha maana niko vizuri.
Kwa akili yako hiiii umwongoze nanii?? Bakia hukohuko ufipani kwa wanywa virobaa
 
Tuwekeeni video akiwa anameza kalamu.
 
Mnapenda kusikiliza watoto waliochanganyikiwa hata kabla hawajaanza rika la ujana-uzee. Acha kulalamika. Unapataje muda wa kumsikiliza mtu wa namna hii?
 
Hahahaaaa yaani Nondo? 😁😁😁😁
 
Inaitwa haranguing style. Ilijengwa na Karl Heinz Goebbels katibu mkuu wa Hitler. Mwangalie tundulissu anavyoongea, mlinganishe na Hitler, copyright.
 
Msisahau kuwa ni Muha huyo! Muha anaweza kubishana na behewa zima la 3rd class tokea Tabora hadi Kigoma peke yake bila hata kuomba maji ya kunywa
 
Chadema Wana shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…