Hakuna kwa maana kaka zangu wote walifanyiwa hospitali na wameoa wanawatoto napia ukweli ni huu hadi leo wadada wanawang'ang'ania ile mbaya hadi mke wakaka kaita kikao.Mimi nilitahiriwa bila ganzi, hivyo sijui!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!
Ndiyo maana baadhi ya makabila hayaruhusu watoto kutahiriwa hospital!
Je ni kweli!? Kama kuna hanithi humu naomba ajitokeze kutoa ushuhuda!
Si ndo Hagar zaidi bora wakate bila ganzIle ganzi haichomwi kwenye pumbu mkuu..inachomwa ndani pale mkojo unapotokea
Kwani wewe ni govinda mkuu?Si ndo Hagar zaidi bora wakate bila ganz
kwa umri wake ni bureeeeee kabisaKatahiriwe acha kujifanya kuulizia, katoe govinda brooo[emoji23][emoji23][emoji23]
Nani alikuambia kuwa inachomwa kwenye pumbu.?Mimi nilitahiriwa bila ganzi, hivyo sijui!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!
Ndiyo maana baadhi ya makabila hayaruhusu watoto kutahiriwa hospital!
Je ni kweli!? Kama kuna hanithi humu naomba ajitokeze kutoa ushuhuda!
Hahahahaha!! Wee jamaa unatakiwa uwepo kwenye world book of record kwa mtu mwenyewe umri mkubwa kutairiwa..Hakuna madhara. Mimi nilitahiriwa kwa ganzi nikiwa na miaka 30, nikiwa tayari nimeoa. Sijapata madhara yoyote.
Halafu kuna fununu eti mtoto wa kike akikukuta govi, hakuachi kamwe..Hakuna madhara. Mimi nilitahiriwa kwa ganzi nikiwa na miaka 30, nikiwa tayari nimeoa. Sijapata madhara yoyote.
Si tumeelewana wadada wasiku hizi wanafuata mkondo wa hela, sio mkondo wa machine kali.Hakuna kwa maana kaka zangu wote walifanyiwa hospitali na wameoa wanawatoto napia ukweli ni huu hadi leo wadada wanawang'ang'ania ile mbaya hadi mke wakaka kaita kikao.
So sijui labda kwa saivi.
Wanachoma kwenye kichwa
Haichomwi kwenye kichwa, Unajua Kichwa kweli?Wanachoma kwenye kichwa