Mliotahiriwa na ganzi eti ni kweli kwamba ile sindano ili kupata ganzi huwa ina athari baadaye?

Ni kweli ina madhara.

Unajua ile sindano hua wanalenga kende moja na kulitia ganzi sasa inatakiwa lilengwe la kulia wakikosea wakalipiga ganzi la kushoto baada ya muda nguvu za kiume huanza kusumbua.

Nakumegea siri, kipindi hichi ambacho hilo tatizo limeshamiri ni kwakua Tanzania ndiyo kwanza hiyo huduma ilikua inasambaa hivyo kizazi cha miaka ya 80 - 90 wengi wana shida ya nguvu za kiume.
 
Umeona eeh
 
Rudisha simu ya baba
 
Mbona huu uzi ni wa JF DOCTORS kule jamaani...
 
Jf sasa mmejaza watoto wa 2000s
Cc: The Boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…