Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Askofu Gwajima atajibuHuku kwetu hasa shuleni ni jambo la kawaida mtu kupandisha mashetani au kuanguka kwa mashetani hasa wadada, je uko kwa wazungu nao wanapandishaga au?
Wewe unaulizia wazungu hasa au Waswahili walioko Uzunguni? Kama ni waswahili walioko Uznunguni wanapandisha shetani, lakini wazungu hawapandishin wao wenyewe ni masheitaniHuku kwetu hasa shuleni ni jambo la kawaida mtu kupandisha mashetani au kuanguka kwa mashetani hasa wadada, je uko kwa wazungu nao wanapandishaga au?
Sio kweli.Inayoitwa kupandisha mashetani ni matatizo ya akili au usanii basi.
ni kweli, mmoja darasani kwetu alikua anapiga meza kichwa kitu ambacho kwa kawaida ungesema lazima apasuke ila hapasuki na yakishatoka anakua mzimaSio kweli.
Hicho kinachoitwa kupandisha mashetani ni kitu cha ajabu sana kwani mimi ni shuhuda wa nguvu za hiyo kitu mara nyingi tu.
Mtu aliyeingiwa na hicho kitu anauwezo wa kufanya kitu ambacho kikawaida ni eidha hakiwezekani kikafanyika mtu akabaki hai au kisiwezekane kabisa.
Sio kweli.
Hicho kinachoitwa kupandisha mashetani ni kitu cha ajabu sana kwani mimi ni shuhuda wa nguvu za hiyo kitu mara nyingi tu.
Mtu aliyeingiwa na hicho kitu anauwezo wa kufanya kitu ambacho kikawaida ni eidha hakiwezekani kikafanyika mtu akabaki hai au kisiwezekane kabisa.
Shetani likipanda linataka kushikwa sikioHuku kwetu hasa shuleni ni jambo la kawaida mtu kupandisha mashetani au kuanguka kwa mashetani hasa wadada, je uko kwa wazungu nao wanapandishaga au?
Hahaha dahHuku bongo kwenyewe wapandisha mashetani wengi ni maskini. Sijawahi kuona au kusikia tajiri kapandisha mashetani[emoji3]
Ungeanza kuuliza au kujua hayo mapepo /mashetani ni nini usingeuliza hili swali...?Huku kwetu hasa shuleni ni jambo la kawaida mtu kupandisha mashetani au kuanguka kwa mashetani hasa wadada, je uko kwa wazungu nao wanapandishaga au?
Hahahaaa...Umenikumbusha mbali saana.Kuna tamthilia ya Days of our lives, miaka ya tisini ilikuwa ikioneshwa na ITV, Marina alikuwa akipandisha mashetani, Tena shetani lake lilikuwa dume, Lina bezi kinyama