#COVID19 Mliotoka Lake Tanganyika kwa watani msaidiane kuzikana pia

#COVID19 Mliotoka Lake Tanganyika kwa watani msaidiane kuzikana pia

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kilichoonekana leo lake Tanganyika ni dhahiri hakukua na tahadhari yoyote iliyochukuliwa. Mlioenda uwanjani na mliokula 🦆 kwenye 🚆 mjipange kuzikana na kuku wa kideri. Delta haiwezi kuwaacha salama.

Screenshot_20210725_181354.jpg
 
Hofu na woga havina nafasi kwenye ardhi ya Tanzania #save the date....

Wapo wap walio tabir mizoga kudhagaa mabarabarani....

Datc why chizi anakula majalalan na haumwi....
Mwenye maana haambiwi maana. Ulidhani ni kama ulivyoambiwa. Hali ni mbaya kama huioni shauri zako.
 
Kwamba watawapelekea UVIKO wazee majumbani, maana mashabiki wa mpira asilimia kubwa ni vijana ambao kwao UVIKO unadunda.....
Yani watakuwa wamesambaza kwa kasi ya 5G ww subir uone
 
ni kweli watu tunapenda masihara sana ila hali ni tete vigogo wanapukutika kama takataka , tusichukulie poa na wala kuleta siasa uchwara hali sio nzuri kiukweli kama huamini nenda Moshi na Arusha ndio utajua kuwa ndizi ni tunda na wakati mwingine ni chakula
 
Kilichoonekana leo lake Tanganyika ni dhahiri hakukua na tahadhari yoyote iliyochukuliwa. Mlioenda uwanjani na mliokula 🦆 kwenye 🚆 mjipange kuzikana na kuku wa kideri. Delta haiwezi kuwaacha salama.
View attachment 1867897
Naona unataka kuchukua nafas ya shetan
Ushindwe
 
Mwenye maana haambiwi maana. Ulidhani ni kama ulivyoambiwa. Hali ni mbaya kama huioni shauri zako.
Hayo ni maneno tuu...daladala za mbagala zinajazana balaa....hatujasikia taarifa zote...

Kwenye Hili naungana na hayati Jpm....Hii issue ya corona ni ajenda ya Mabeberu.
 
Hayo ni maneno tuu...daladala za mbagala zinajazana balaa....hatujasikia taarifa zote...

Kwenye Hili naungana na hayati Jpm....Hii issue ya corona ni ajenda ya Mabeberu.
Sasa Mkuu nilazima mfano uwe wa mbagala tu, Kuna gongolamboto huko tegeta,kimara ,kawe kote kunajaza sana lakini wewe umeona uitaje mbagala tu daah yani!!!
 
Back
Top Bottom