Mliowahi kucheza GTA game

Mliowahi kucheza GTA game

Kwaio mkuu hata io pad yako hujui kuitumia? 😂 😂 😂
 
Rahisi Sana ukipata zile key zake ,Kuna jina zinaitwa,ukiandika maneno flani,itakuja kitu Cha kukusaidia kwenye Mishe,Kama unataka gari itembee kwenye maji,Kama unataka silaha ya aina flani,Kama unataka ela,Kama unataka uongeze maisha n.k fuata maelezo na njia ya kwenda Mishe unayotaka mkono wakulia pale,ukimaliza Mishe y kwanza nyingine zinafuata,usisahau kusave,ili ukija kuanza Tena ,unaendelea ulipoishia
 
GTA V PC Cheats
PAINKILLER: Become invincible for five minutes.
TOOLUP: Get all weapons.
TURTLE: Full health and armour.
POWERUP: Recharge special ability.
CATCHME: Fast run.
GOTGILLS: Fast swim.
HOPTOIT: Jump higher.
FUGITIVE: Raise wanted level
Kama GTA 4 tafuta za 4 ,
Hizi no chache zipo nyingi zaidi
 
😂😂😂Mimi tatizo kuelekeza ndo siwez hapa nawaza nimwambiaje kwa urahisi anielewee
Labda aweke screenshot ,uanze kumwambia iba hiyo gari kimbia,polisi wakimbiza atajijua mwenye akipigwa risasi ,maana hawana huruma wale wehu
 
Labda aweke screenshot ,uanze kumwambia iba hiyo gari kimbia,polisi wakimbiza atajijua mwenye akipigwa risasi ,maana hawana huruma wale wehu
😂😂😂😂Apo fasta sanaa mission itakuwa impossible, 😁😁
 
😂😂😂😂Apo fasta sanaa mission itakuwa impossible, 😁😁
Nawacgokozaga nikiwa Sina kazi,nalipua mpaka kambi za jeshi,na vituo vya polisi,alafu napanda kifaru,,natafutwa na nchi nzima Apo,mpaka omba omba Barabarani ananikimbiza ,ma helkopta juu,hahah
 
Rahisi Sana ukipata zile key zake ,Kuna jina zinaitwa,ukiandika maneno flani,itakuja kitu Cha kukusaidia kwenye Mishe,Kama unataka gari itembee kwenye maji,Kama unataka silaha ya aina flani,Kama unataka ela,Kama unataka uongeze maisha n.k fuata maelezo na njia ya kwenda Mishe unayotaka mkono wakulia pale,ukimaliza Mishe y kwanza nyingine zinafuata,usisahau kusave,ili ukija kuanza Tena ,unaendelea ulipoishia
BAGUVIX
 
Labda aweke screenshot ,uanze kumwambia iba hiyo gari kimbia,polisi wakimbiza atajijua mwenye akipigwa risasi ,maana hawana huruma wale wehu
😂😂Au atumie ramani tuu, .. Sasa sijajua anacheza gta ngp😁
 
Nimecheza
GTA 3 nimemaliza
GTA vice city nimemaliza
GTA san andreas nimemaliza
Nenda you tube tafuta mission inayokusumbua uone inachezwaje
 
Nimecheza
GTA 3 nimemaliza
GTA vice city nimemaliza
GTA san andreas nimemaliza
Nenda you tube tafuta mission inayokusumbua uone inachezwaje
[/QUO jinsi ya kujua niende wapi kufanya nn ndio shida nikiangalia video naona Mara apande Gali Mara
 
Nimecheza Vice City kidogo, Ila San andrea nimecheza Lote na Kumaliza Mission zote
 
Mwanzoni chukua baiskeli.
Angalia kwenye ramani kuna alama ifate huko inakoelekea.
Mission ya kwanza ni kwenda home town coz hapo mwanzo umetoka jel so utapaswa uende home.
 
PANZER - KIFARU
PROFESSIONAL TOOLS - BUNDUKI NA MAPANGA
NATAL TOOLS - MIJEGEJE
ASPIRINE - KUZUIA GARI KUUNGUA
 
Unaweza kucheza pia ni vizuri kubrowse youtube watu wamefanya walkthrough ya game kukupa hints jinsi ya kucheza
Kwa wale mliowahi kucheza game za gta ety. Mpaka uwe unajua kiingereza ndio uliweze mission zake watu wanaisifia Sana hasa San Andreas, niliwahi jaribu kuidownload mwanzo tu nashindwa kujua niende wapi naona la mtu kamesimama tu.
 
Back
Top Bottom