Mliowahi kucheza GTA game


Yaani ni kwamba huyu jamaa hajui kitu chochote kile
Yeye anaona tu mtu kasimama basiiiiiii [emoji23]

Sasa huko kwenye cheat umeenda mbali sana

Kimsingi ni kazi sana kumuelekeza kwa maandishi labda uwe naye

Kwanza ajue mission ni nini? (Jamaa katoka jela anatakiwa kwenda mtaani kwake)

Pili ajue jinsi ya kumchezesha main character, kutembea kukimbia kupanda kitu nk nk

Tatu ajue kutumia ramani na kuifuata

Hii mara nyingi ukiwa mtundu unaijua fasta
Shida ni kisambaa [emoji23][emoji23]
 
Atakua fundi mpaka Sasa haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…