Mlipuko wa homa siku za karibuni ni COVID-19?

Mlipuko wa homa siku za karibuni ni COVID-19?

Mchumi90

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,099
Reaction score
1,315
Habari wakuu. Ni wiki sasa kuna mlipuko wa ugonjwa wa ajabu kidogo na dalili zake ni kuumwa kichwa, mafua, homa kali ikiambatana na joto kali sana na mwisho ni kuumwa mifupa.

Mimi nimelala weekend nzima nipo hoi. Leo nimeleta mtu hospital ndio nakutana na nyomi na wimbo ni uleule.

Wizara ya afya tunaomba majibu.
 
Habari wakuu. Ni wiki sasa kuna mlipuko wa ugonjwa wa ajabu kidogo na dalili zake ni kuumwa kichwa, mafua, homa kali ikiambatana na joto kali sana na mwisho ni kuumwa mifupa.

Mimi nimelala weekend nzima nipo hoi. Leo nimeleta mtu hospital ndio nakutana na nyomi na wimbo ni uleule.

Wizara ya afya tunaomba majibu.
Imenipiga hiyo homa ikanilaza wiki
 
Jumanne iliyopita nilipata homa kali. Kichwa, mifupa kuuma. Nilipima nikaambiwa ni maliria kali. Nikachomwa sindano ikaisha
 
Jumanne iliyopita nilipata homa kali. Kichwa, mifupa kuuma. Nilipima nikaambiwa ni maliria kali. Nikachomwa sindano ikaisha
Ni balaaa me niliona nanyooka...nimekula ma antibiotics ya kutosha ndio nimesimama tena
 
Back
Top Bottom