i have a lot of respect for all religions lakini i hate radical (Muslims/Christians) where some few individual will force other people into their believes , mimi nataka tueshimiane tu, kuhusu milipuko serekali ya Kenya imeshindwa kulinda raia wake coz this is not the first time milipuko inatokea katika jiji la Nairobi. 10th March 2012 , kuwajibika inakua ngumu and its even worse kwenye serekali ya umoja wa kitaifa coz hamna upinzani