Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

Kuna watu humu walifurahia kuangushwa kwa Assad, walisherehekea sana

Walidai assad ni gaidi anayeungwa mkono na Iran wakaenda mbali kudai Assad ni adui wa taifa teule eti

Waliwaunga mkono waasi humu, sasa Assad kaondoka mliokua mnawaunga mkono waaasi kwann mnalalamika?Kwanini mliyempenda si ndo kashika usukani?

Sasa tulieni muelewe kwanini Urusi walikua wanamsapoti Assad

Iran wakristo wanaishi kwa Amani, Syria wakristo waliishi kwa amani pia sasa hivi mambo yamekua tofauti

Kazi ni kufia Israel ndo baadhi ya watumwa wa fikra wanachoweza, sasa tulieni maana mulitaka waasi washinde.
 
Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

Kuna watu humu walifurahia kuangushwa kwa Assad, walisherehekea sana

Walidai assad ni gaidi anayeungwa mkono na Iran wakaenda mbali kudai Assad ni adui wa taifa teule eti

Waliwaunga mkono waasi humu, sasa Assad kaondoka mliokua mnawaunga mkono waaasi kwann mnalalamika?Kwanini mliyempenda si ndo kashika usukani?

Sasa tulieni muelewe kwanini Urusi walikua wanamsapoti Assad

Iran wakristo wanaishi kwa Amani, Syria wakristo waliishi kwa amani pia sasa hivi mambo yamekua tofauti

Kazi ni kufia Israel ndo baadhi ya watumwa wa fikra wanachoweza, sasa tulieni maana mulitaka waasi washinde.
Yale yale ya kumuita Gadaff gaidi kama vile sasa kuna amani na raha Libya wakati hadi binadamu wanauzwa na kuawa kama ng'ombe.
 
Trump katika hotuba yake kule Saudia mbele ya viongozi wote wa nchi za kiislam aliwaambia fanatic Muslim ni hatari ni magaidi ambayo yanaua watu na kuangamiza mali na jamii kwa Jina la Allah hawana nafasi mbele ya jumuiya ya dunia.. nchi ha Kiislam zinawalea hao watu ambao ni shida..

Sasa mytake Kama Uislam unaelea ujinga wa udini nao unastahili kufutwa pia..

Mleta mada acha unafiki tunajua unafuraha rohoni mwako, ila sijasikia hilo la Christians kuuliwa huko Syria. Au ndio Alawites wanaomkumbuka Netanyahu awaokoe maana Gaidi mpya anawakusanya majumbani kisha anawaua hadharani.
 
Tulia wewe mfia dini

Kwanza siwezi kufurahia mauaji ya binadam mwenzangu

La pili acha ugay na mahaba ya kijinga

La tatu ulikua unaunga mkono waasi wa Syria sasa unajutia kwa ujinga wako
Trump katika hotuba yake kule Saudia mbele ya viongozi wote wa nchi za kiislam aliwaambia fanatic Muslim ni hatari ni magaidi ambayo yanaua watu na kuangamiza mali na jamii kwa Jina la Allah hawana nafasi mbele ya jumuiya ya dunia.. nchi ha Kiislam zinawalea hao watu ambao ni shida..

Sasa mytake Kama Uislam unaelea ujinga wa udini nao unastahili kufutwa pia..

Mleta mada acha unafiki tunajua unafuraha rohoni mwaka ila sijasikia hilo la Christians kuuliwa huko Syria. Au ndio Alawites wanaomkumbuka Netanyahu awaokoe maana Gaidi mpya anawakusanya majumbani kisha anawaua hadharani.
 
Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

Kuna watu humu walifurahia kuangushwa kwa Assad, walisherehekea sana

Walidai assad ni gaidi anayeungwa mkono na Iran wakaenda mbali kudai Assad ni adui wa taifa teule eti

Waliwaunga mkono waasi humu, sasa Assad kaondoka mliokua mnawaunga mkono waaasi kwann mnalalamika?Kwanini mliyempenda si ndo kashika usukani?

Sasa tulieni muelewe kwanini Urusi walikua wanamsapoti Assad

Iran wakristo wanaishi kwa Amani, Syria wakristo waliishi kwa amani pia sasa hivi mambo yamekua tofauti

Kazi ni kufia Israel ndo baadhi ya watumwa wa fikra wanachoweza, sasa tulieni maana mulitaka waasi washinde.
Yaan hao aliwites ndio wakristo sio. Au unaongea kujifurahisha
 
Imefikia wakati wa kristo huko Syria wabebe bunduki dhidi wa waislamu huko Syria.
 
Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

Kuna watu humu walifurahia kuangushwa kwa Assad, walisherehekea sana

Walidai assad ni gaidi anayeungwa mkono na Iran wakaenda mbali kudai Assad ni adui wa taifa teule eti

Waliwaunga mkono waasi humu, sasa Assad kaondoka mliokua mnawaunga mkono waaasi kwann mnalalamika?Kwanini mliyempenda si ndo kashika usukani?

Sasa tulieni muelewe kwanini Urusi walikua wanamsapoti Assad

Iran wakristo wanaishi kwa Amani, Syria wakristo waliishi kwa amani pia sasa hivi mambo yamekua tofauti

Kazi ni kufia Israel ndo baadhi ya watumwa wa fikra wanachoweza, sasa tulieni maana mulitaka waasi washinde.
ule utawala umewekwa na israeli na muisareli hapendi mkristo na wakristo ndo wanaongoza kuwaombea israeli ibarikiwe na nguvu ili izidi kuwaua wakristo...
 
Mlishangilia kuondolewa kwa Assad sasa wakristo wanauliwa kama kuku Syria

Kuna watu humu walifurahia kuangushwa kwa Assad, walisherehekea sana

Walidai assad ni gaidi anayeungwa mkono na Iran wakaenda mbali kudai Assad ni adui wa taifa teule eti

Waliwaunga mkono waasi humu, sasa Assad kaondoka mliokua mnawaunga mkono waaasi kwann mnalalamika?Kwanini mliyempenda si ndo kashika usukani?

Sasa tulieni muelewe kwanini Urusi walikua wanamsapoti Assad

Iran wakristo wanaishi kwa Amani, Syria wakristo waliishi kwa amani pia sasa hivi mambo yamekua tofauti

Kazi ni kufia Israel ndo baadhi ya watumwa wa fikra wanachoweza, sasa tulieni maana mulitaka waasi washinde.
Muislamu yeyote yule ni janga la Dunia; maadamu anasoma kitabu cha Shetani kaallah. Hata Monkeys wakiwa exposed to that book ujue watakuwa janga la Dunia
Screenshot_20240830-144344_Chrome.jpg
Screenshot_20250305_152618.jpg
 
Umeshayapa majini yako tende? Uyasomee na hizo Satanic verses!
Uzuri wa hapa ukiukandia uislam Leo unaitwa mgalatia ukiukandia ukristo unaitwa jini.We mkusanya sadaka siku hizi kelele mpaka masokoni ni vispika.
 
Back
Top Bottom