Mlitaka Simba imnyenyekee Haji Manara?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Ninawashangaa sana hawa utopolo baada ya kumsaini utopolo mwenzao wanakuja kututambia bila kujua ni sawa na mtu mzima kucheza sarakasi akiwa amevaa taulo pekee.

Manara hadi kufikia kuaminiwa na utopolo,walishaanza kumtumia kitambo sana. Ni vigumu kuamini kuwa Haji hakuwa na faida kubwa yanga kwa maneno ya shombo aliyoyatumia,asingeweza kuendelea kuwa rafiki wa akina GSM. GSM na utopolo walifaidika na uwepo wa Haji Simba.

Simba kwa vyovyote haikumuhitaji tena Manara. tulikuwa tunajenga yeye anatoboa ili ku balance status na timu yake utopolo. Kila mwana Simba anafuraha kuondoka kwa kikulacho aliyetuhujumu Simba. Na wote waliompenda waende naye utopolo huyu hachelewi ataharibu tu na huko halafu muhamie nyumbani kwake.

Tunawasubiri mtengeneze muunganiko kama mlivyozoea huku mkilaani TFF.
 
Kwa mtu aliyeanza kushabikia mpira utotni hawezi kuhama kutoka simba kwenda yanga au kutoka yanga kwenda Simba. manara ni yanga ila simba alikuja kimaslahi. Watu wakulaumiwa ni viongozi wa Simba na wanachama kwa sababu kuna kipengele kinachosema sifa mojawapo ya mwanachama wa Simba ni uaminifu lakini Manara hakuwa na sifa hiyo sababu aliondoka kwa kashifa ya utapeli alipokuwa katibu mwenezi mkoa wa dar es salaam.
Jasiri aachi asili hata alipokuwa Simba bado Manara aliendelea kuisaliti Simba na baada ya kushitukiwa ndio ameonyesha ngozi yake halisi.
 
Zeruzeru mkalia tako moja amewawehusha Utopolo hakuna mwenye akili tena hata mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…