Anacheza na akili za watu huyoSafi sana aisee wewe una akili sana nilikua sijausoma mchezo ulivosema ndo nkaangalia na mimi
Anacheza na akili za watu huyo
Sina longolongo,humu pia nilishawahi Fanya deal na jamaa wawili tuWatu mko makini na fursa...
Usipumbazwe na akili ya mtu ndugu,sijawahi kuwa na I'd zaidi ya moja hapa Jf toka nimejiunga 2012Safi sana aisee wewe una akili sana nilikua sijausoma mchezo ulivosema ndo nkaangalia na mimi
Poa we nitag, ilimradi zisiwe zote id zako, maana ukishapania kufanya biashara ushindwi kuwa na multiple id kumiSina longolongo,humu pia nilishawahi Fanya deal na jamaa wawili tu
Bt wiki ijayo ntakuja na Uzi maalumu,ntakua tag
Usipumbazwe na akili ya mtu ndugu,sijawahi kuwa na I'd zaidi ya moja hapa Jf toka nimejiunga 2012
Siku zote bei hazipungui Hapo so ulidhani bei ni elfu 2000??Angalia hata kwenye bei alizotaja na alizojijibu
Mkuu we si ndo Morani na ndio wataalam wa hizo mambo, waone nduguzo km umekulia townKumekuwa na matangazo mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ja uwepo wa dawa mbalimbali za kiasili zenye kuongeza umbile la ndonga.Binafsi nimewahi kutumia baadhi ya dawa lakini sioni matokeo chanya zaidi ya kupata hasara kubwa kwani baadhi ya dawa nililazimika kutumia hadi sh.laki 1.5 kuipata nakumbuka dawa ya chini kabisa nilinunua sh.elfu 80.Ombi langu ni kwa wale waliotumia hizo dawa na kupata matokeo chanya basi mniambie jina la dawa na vile naweza kuipata pamoja cost yake. Natanguliza shukrani kwenu wadau
hiyo dawa kama ni ya kweli haihaitaji ht matangazo hata uwe chimbo utauza 2 kwa jinsi kina le kibamia wanavyohangaika ht yeye angenunua kwa garaa youote ileHabari bure..hutaki unaacha
mkuu kibamia kinapoteza confidence haswa unapotaka kumtokea demu mpyaYaani mkuu unatupa pesa ili uongeze dushe ili iweje sasa? Aliyekuambia kugegeda ni vita ni nani?
Mimi kabla ya Mungu kuniumba angeniuliza kuchagua kati ya pesa na dushe kubwa bila kusita ningechagua pesa.
hiku hizi hawa ndugu zangu wanachakachua utakuta wanawauzia watu maranda ya mbao wakisema ni dawaMkuu we si ndo Morani na ndio wataalam wa hizo mambo, waone nduguzo km umekulia town
wee hunitakii memaNasikia dawa ya kuua panya nayo ni nzuri xana.
Kumekuwa na matangazo mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ja uwepo wa dawa mbalimbali za kiasili zenye kuongeza umbile la ndonga.Binafsi nimewahi kutumia baadhi ya dawa lakini sioni matokeo chanya zaidi ya kupata hasara kubwa kwani baadhi ya dawa nililazimika kutumia hadi sh.laki 1.5 kuipata nakumbuka dawa ya chini kabisa nilinunua sh.elfu 80.Ombi langu ni kwa wale waliotumia hizo dawa na kupata matokeo chanya basi mniambie jina la dawa na vile naweza kuipata pamoja cost yake. Natanguliza shukrani kwenu wadau
Si ungechelewa kidogo kujijibu mwenyewe ona sasa watu wamekudhtukia.Nipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
Mleta mada kuwa makini humu ndani.Nipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
OkAcha kuzingua Mzee baba
NikopesheNipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
Kweli mkuu bt sijawahi weka tangazo, kunauzi Kama huu ukishawahi tolewa hapa,na nlifanya kazi na jamaa,then akaja leta mrejeshohiyo dawa kama ni ya kweli haihaitaji ht matangazo hata uwe chimbo utauza 2 kwa jinsi kina le kibamia wanavyohangaika ht yeye angenunua kwa garaa youote ile