Wala haisaidii,kwasababu sijalazimisha mteja Bali nimeelezea nilichonacho,bt pia bei nikaweka wazi ili mtu akipenda aje asipopenda aishie hapaSi ungechelewa kidogo kujijibu mwenyewe ona sasa watu wamekudhtukia.
Tungekuwa tunafahamia ningekupatia bila shaka,Kama wengine niwapatiavyo mkuuNikopeshe
mkuu kibamia kinapoteza confidence haswa unapotaka kumtokea demu mpya
Acheni kuwaibia watu jamani hivi hamuuogopi mwisho wenu?naamini ilivyo ngumu mtu kujiongezea kimo chake pia ni vigum kujiongezea kiungo chochote cha mwili wake tofauti na maumbile aliyoumbwa nayo.enyi mnaoitwa vibamia nyie vibamia hamna mna maumbile yakutosha kabisa kinachotokea ni kwamba mnakutana na wadada aina ya machangudoa wenye mabwawa!hamjiulizi mbona enzi za wazee wetu ujinga huu haukuwepo?upo kwa7bu maadili yameshuka mwanamke mmoja kwa wik anavuliwa nguo na wanaume kama sio wawili basi watatu akukute wewe pekeako kwa mwezi kwanini asiseme una maumbile madogo?cha kufanya tulizaneni tafuteni maisha ipo siku mtawapata wa size zenu.Nipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
Umewahi kutoa jibu haraka sana ,,tayar washajua ungengoje kidogo comment zijae kisha ufanye hili tangazo la kujitangazia A&BNipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
Kuna hizi za kichina ukimeza dushe linakuwa kama limevimba tu lakini uvimbe huo huisha baada ya saa24.Kumekuwa na matangazo mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ja uwepo wa dawa mbalimbali za kiasili zenye kuongeza umbile la ndonga.Binafsi nimewahi kutumia baadhi ya dawa lakini sioni matokeo chanya zaidi ya kupata hasara kubwa kwani baadhi ya dawa nililazimika kutumia hadi sh.laki 1.5 kuipata nakumbuka dawa ya chini kabisa nilinunua sh.elfu 80.Ombi langu ni kwa wale waliotumia hizo dawa na kupata matokeo chanya basi mniambie jina la dawa na vile naweza kuipata pamoja cost yake. Natanguliza shukrani kwenu wadau
Kuna ile ya kuchanjia maji ya dodoki changa ,kadiri dodoki linavyokua na dushe huongezeka ukubwa.Ukiridhika na ukubwa unaoutaka unang'oa dodoki ili lisiendelee kukua sambamba na dushe.Au karuke mara kadhaa mtwangio ukitaka urefu wa dushe.Hizo ni imani tu za kienyeji.Kumekuwa na matangazo mengi kwenye mitandao ya kijamii juu ja uwepo wa dawa mbalimbali za kiasili zenye kuongeza umbile la ndonga.Binafsi nimewahi kutumia baadhi ya dawa lakini sioni matokeo chanya zaidi ya kupata hasara kubwa kwani baadhi ya dawa nililazimika kutumia hadi sh.laki 1.5 kuipata nakumbuka dawa ya chini kabisa nilinunua sh.elfu 80.Ombi langu ni kwa wale waliotumia hizo dawa na kupata matokeo chanya basi mniambie jina la dawa na vile naweza kuipata pamoja cost yake. Natanguliza shukrani kwenu wadau
Mtumiaji awe na umri gani?Nipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
Ya dodoki pori nimeshuhudia. Ila ukichelewa kukata dodoki utalazimika uvae sketi ili dushe lisionekane kwa watu, maana hukua hadi kero.Kuna ile ya kuchanjia maji ya dodoki changa ,kadiri dodoki linavyokua na dushe huongezeka ukubwa.Ukiridhika na ukubwa unaoutaka unang'oa dodoki ili lisiendelee kukua sambamba na dushe.Au karuke mara kadhaa mtwangio ukitaka urefu wa dushe.Hizo ni imani tu za kienyeji.
kuna ya mti Wa mlegea pia iko kama dodokiYa dodoki pori nimeshuhudia. Ila ukichelewa kukata dodoki utalazimika uvae sketi ili dushe lisionekane kwa watu, maana hukua hadi kero.
Kanjanja!!Nipo mkoa ila waweza nichek Pm
Ila bei nakuweka wazi kuna
@75,000(ya unga) unakoroga na kunywa Mara moja tu asubuhi au jioni kila siku(haina madhara cz ni ya mitishamba,matokeo after 7days)
@150,000 (ya kupaka na kuchua(ni kama mafuta ya Nazi.
Wengine walionazo wataongezea ujuzi wao
Wacha kukariri,sasa kama nlikuwa online nisijibu Kisa mawazo yenuUmewahi kutoa jibu haraka sana ,,tayar washajua ungengoje kidogo comment zijae kisha ufanye hili tangazo la kujitangazia A&B
Angalau 25 kwenda juu, na sijawahi uzia mtu chini ya Hapo wengi 28 kwenda juu(IRINGA, DAR,NJOMBE,DODOMA,hasa boda humu watu wa maroli wanachukua sanaMtumiaji awe na umri gani?