Mlo mwepesi wa haraka

Mlo mwepesi wa haraka

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Leo bhna morng naamka umeme wakakata siku nzima TANESCO mnatukosea af mnauza umeme

Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM

1739039837727.jpeg

Nilianza kuchemsha nyama nikaitenga supu ya kwanza kabisa

1739039925103.jpeg

Nikamenya ndizi na kukata kabisa

1739039995983.jpeg

Baada ya nyama kuiva nikaitoa nikachanganya na ndizi kwenye sufuria kubwa nikaweka maji kidog tu ya kuivisha ndizi
1739040057683.jpeg

Baada ya hapo niliweka supu ile ya kwanza nilio itenga baada ya ndizi kuiva lakini

1739040104121.jpeg

Baada ya hapo nikachukua nazi na kuweka kidogo tu sikutumia yote
1739040140830.jpeg

Baada ya hapo kutokota vizur ilikuwa ivyo

1739040186679.jpeg

Nikaipua nakuweka kwenye poti mlo uhu sikutumia kabisa mafuta niite mchemsho wa ndizi ivyo

1739040253365.jpeg

Ndio ivyo ilikuwap
 
Leo bhna morng naamka umeme wakakata siku nzima TANESCO mnatukosea af mnauza umeme

Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM

View attachment 3229480
Nilianza kuchemsha nyama nikaitenga supu ya kwanza kabisa

View attachment 3229482
Nikamenya ndizi na kukata kabisa

View attachment 3229483
Baada ya nyama kuiva nikaitoa nikachanganya na ndizi kwenye sufuria kubwa nikaweka maji kidog tu ya kuivisha ndizi
View attachment 3229484
Baada ya hapo niliweka supu ile ya kwanza nilio itenga baada ya ndizi kuiva lakini

View attachment 3229486
Baada ya hapo nikachukua nazi na kuweka kidogo tu sikutumia yote
View attachment 3229487
Baada ya hapo kutokota vizur ilikuwa ivyo

View attachment 3229488
Nikaipua nakuweka kwenye poti mlo uhu sikutumia kabisa mafuta niite mchemsho wa ndizi ivyo

View attachment 3229489
Ndio ivyo ilikuwap
safi kabisa .hata ingekuwa ni uko mjini bado hilo pishi limekwenda shule.Ila sema dokta amesema niache au kupunguza red meat.hapo badala yake si inawezekana kuweka kuku au samaki?
 
Back
Top Bottom