Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Leo bhna morng naamka umeme wakakata siku nzima TANESCO mnatukosea af mnauza umeme
Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM
Nilianza kuchemsha nyama nikaitenga supu ya kwanza kabisa
Nikamenya ndizi na kukata kabisa
Baada ya nyama kuiva nikaitoa nikachanganya na ndizi kwenye sufuria kubwa nikaweka maji kidog tu ya kuivisha ndizi
Baada ya hapo niliweka supu ile ya kwanza nilio itenga baada ya ndizi kuiva lakini
Baada ya hapo nikachukua nazi na kuweka kidogo tu sikutumia yote
Baada ya hapo kutokota vizur ilikuwa ivyo
Nikaipua nakuweka kwenye poti mlo uhu sikutumia kabisa mafuta niite mchemsho wa ndizi ivyo
Ndio ivyo ilikuwap
Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM
Nilianza kuchemsha nyama nikaitenga supu ya kwanza kabisa
Nikamenya ndizi na kukata kabisa
Baada ya nyama kuiva nikaitoa nikachanganya na ndizi kwenye sufuria kubwa nikaweka maji kidog tu ya kuivisha ndizi
Baada ya hapo niliweka supu ile ya kwanza nilio itenga baada ya ndizi kuiva lakini
Baada ya hapo nikachukua nazi na kuweka kidogo tu sikutumia yote
Baada ya hapo kutokota vizur ilikuwa ivyo
Nikaipua nakuweka kwenye poti mlo uhu sikutumia kabisa mafuta niite mchemsho wa ndizi ivyo
Ndio ivyo ilikuwap