Mlo mwepesi wa haraka

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Leo bhna morng naamka umeme wakakata siku nzima TANESCO mnatukosea af mnauza umeme

Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM


Nilianza kuchemsha nyama nikaitenga supu ya kwanza kabisa


Nikamenya ndizi na kukata kabisa


Baada ya nyama kuiva nikaitoa nikachanganya na ndizi kwenye sufuria kubwa nikaweka maji kidog tu ya kuivisha ndizi

Baada ya hapo niliweka supu ile ya kwanza nilio itenga baada ya ndizi kuiva lakini


Baada ya hapo nikachukua nazi na kuweka kidogo tu sikutumia yote

Baada ya hapo kutokota vizur ilikuwa ivyo


Nikaipua nakuweka kwenye poti mlo uhu sikutumia kabisa mafuta niite mchemsho wa ndizi ivyo


Ndio ivyo ilikuwap
 
safi kabisa .hata ingekuwa ni uko mjini bado hilo pishi limekwenda shule.Ila sema dokta amesema niache au kupunguza red meat.hapo badala yake si inawezekana kuweka kuku au samaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…