Yah samaki unaweza kuweka mwishoni baada ya ndizi kuiva maana samak achelewi kuivasafi kabisa .hata ingekuwa ni uko mjini bado hilo pishi limekwenda shule.Ila sema dokta amesema niache au kupunguza red meat.hapo badala yake si inawezekana kuweka kuku au samaki?
π ila we mzeeMchemsho mtamu wewe hawajaandikiwa watu wa sukari na pressure
Yah ila nikuongeza tu radhaKwenye michemsho sipendeleagi sana nazi
ππ tunafungua channel sio"Hello guys, welcome to my cooking channel
Don't forget to like and subscribe..."
Sure?Yes,
Uko sahihi, kula sana michemsho ya red meat sio nzuri kiafya.
ππKande -maharage mabichi mahindi mabichi kiungo chochote Tu we nyunyuzia
Ni Sawa na Kula mbosoe na dona
fursa hiyo, hela za youtubeππ tunafungua channel sio
πI miss this life for sure.... I used to enjoy....
Ngoja unifundishe jinsi ya kufungua channelfursa hiyo, hela za youtube
"Cooking with Mwachi"
Ushanipa jina sio π
Sema kwasababu unaogopa kumenya ndizi mikono itakuwa mibaya πSipendi hicho chakula, leo siji kudoea.
Huwa napaka mafuta ya kupikia mikono haishiki utomvu ila kiukweli aliegundua ndizi ni chakula ana dhambi sana. Nyumbani kwetu wanazipenda ila mimi kwa kweli hapana.Sema kwasababu unaogopa kumenya ndizi mikono itakuwa mibaya π
ArushaMkuu hapo ulipo ni wapi naona mandhari nzuri
ππ jitahidi upendeHuwa napaka mafuta ya kupikia mikono haishiki utomvu ila kiukweli aliegundua ndizi ni chakula ana dhambi sana. Nyumbani kwetu wanazipenda ila mimi kwa kweli hapana.