Pre GE2025 Mlo wa siku moja hauwezi kukutajirisha shtukeni vijana kipindi hichi cha uchaguzi

Pre GE2025 Mlo wa siku moja hauwezi kukutajirisha shtukeni vijana kipindi hichi cha uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Ni kawaida sana kwa vijana wa kitanzania ambao ni boda boda kutumika kila uchaguzi.

Kijana yupo tayari kutumika na CCM eti kisa siku hiyo umejaziwa mafuta full tank ndio unasahau mateso miaka mitano aliyopambana mwenyewe bila msaada wa mtu ifike muda vijana tuamke kwa vitendo.

Pesa zinazoibiwa zingetumika vizuri mngekuwa mnanunua petrol kwa 1700 na sio bei mnayouziwa sasa ya Tsh 3200
 
Kule Somalia ,bodaboda hawana matumaini....muda wowote tu magaidi Al Shabaab wanafanya yao....

Kule Sudan bodaboda wamekata tamaa...

Wa kivu kaskazini hivyohivyo...

Bodaboda wa Tanzania wanahitaji UTULIVU NA AMANI....na wanajua fika kuwa misingi ya nchi ya amani na utulivu italindwa milele dumu na watu waliojipambanua KUILINDA VYEMA....

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kule Somalia ,bodaboda hawana matumaini....muda wowote tu magaidi Al Shabaab wanafanya yao....

Kule Sudan bodaboda wamekata tamaa...

Wa kivu kaskazini hivyohivyo...

Bodaboda wa Tanzania wanahitaji UTULIVU NA AMANI....na wanajua fika kuwa misingi ya nchi ya amani na utulivu italindwa milele dumu na watu waliojipambanua KUILINDA VYEMA....

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hii ngonjera ya amani imepumbaza na kuwapoteza mwelekeo wajinga wengi mno
 
Ni kawaida sana kwa vijana wa kitanzania ambao ni boda boda kutumika kila uchaguzi.

Kijana yupo tayari kutumika na CCM eti kisa siku hiyo umejaziwa mafuta full tank ndio unasahau mateso miaka mitano aliyopambana mwenyewe bila msaada wa mtu ifike muda vijana tuamke kwa vitendo.

Pesa zinazoibiwa zingetumika vizuri mngekuwa mnanunua petrol kwa 1700 na sio bei mnayouziwa sasa ya Tsh 3200
Tz hii mpzan ana tofauti na ccm wote nyie wanasiasa mpo kwa ulaji amna kitu hapo tofaut tu mnaigiza umpo kutupgania lakn wap akuna kitu unakuta mpzan anasoma raman kama ccm kuna upepo anahamia sasa na ss tunasomaga raman maana tunaitaj pesa kama nyie
 
Tz hii mpzan ana tofauti na ccm wote nyie wanasiasa mpo kwa ulaji amna kitu hapo tofaut tu mnaigiza umpo kutupgania lakn wap akuna kitu unakuta mpzan anasoma raman kama ccm kuna upepo anahamia sasa na ss tunasomaga raman maana tunaitaj pesa kama nyie
Hapana chadema Ina sera za kumkomboa mpaka yule mtu wa chini kabisa tofauti kabisa na ccm wao watakwambia wanakubalika ila waambie walete tume huru ya uchaguzi
 
Hapana chadema Ina sera za kumkomboa mpaka yule mtu wa chini kabisa tofauti kabisa na ccm wao watakwambia wanakubalika ila waambie walete tume huru ya uchaguzi
🤣🤣🤣 sta sahau maisha yangu tumchaguwa kiongoz wa mtaa kwa tket ya chadema tuka linda kura mpaka asubuh naunajua watu wa uku Arusha wanavo penda mabadliko lakn mwamba alivo pata uongoz aiseee skuamn kumbe n umaskn ilikuwa inamsumbua uwez amn saiv jamaa kaja kwa tket ya ccm baada ya kumpga chn 2020 kasoma upepo kwaiyo ndugu zanguni Tz pagumu hyo ndyo ukwl
 
Ni kawaida sana kwa vijana wa kitanzania ambao ni boda boda kutumika kila uchaguzi.

Kijana yupo tayari kutumika na CCM eti kisa siku hiyo umejaziwa mafuta full tank ndio unasahau mateso miaka mitano aliyopambana mwenyewe bila msaada wa mtu ifike muda vijana tuamke kwa vitendo.

Pesa zinazoibiwa zingetumika vizuri mngekuwa mnanunua petrol kwa 1700 na sio bei mnayouziwa sasa ya Tsh 3200
Kama unajua wanapojazia watu full tank niambie mkuu nikachukue wese lao halafu siwapigii kura ng'o.
 
Back
Top Bottom