Mlowahi kudate au kuoa wasichana wa kihindi njooni hapa

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Bravo maselaa, machalii na masistaa wa humu...

Niende kwenye mada

Katika watu waliotakiwa tuwe tumechanganya damu nao kisawasawa ni wahindi na wana miaka mingi tu hapa Tanzania ila cha ajabu idadi ya ndoa kati ya waafrika na wahindi ni chache mno ukinganisha na jamii nyingine mfano waarabu

Ok sasa mliowahi kuwaoa, kudate au hata mahusiano na hawa wasichana hebu tiririkeni wakoje tuanze kujua mapema maana mzee wa totoz kuna mmoja nimemzimikia balaa nataka niingie kwake mzima mzima mtoto mashallah balaa...ila mlowahi kudate nao piteni hapa mtuambie wakoje
 
Wahindi watu wa kutenga binti yao akiolewa na ngozi nyeusi na pia wanaume wao awapendi wengi wao kua wanawake weusi tofauti na waarabu wanakula sana madem weusi ila wanawake wa kiarabu nao ni ngumu kutema na wanaume weusi labda wawe wazazi wao washawai kuchanganya na taifa moja mzungu au muafrica
 
Mkuu kama kwako uzuri wa mwanamke ni chura basi sikushauri uwaoe hao ila kama kwako uzuri wa mwanamke ni sura basi hao ndo wanakufaa maana wahindi kama ni sura tu wengi wamejaaliwa

Hamna wanawake dunia hii wanaowafikia wanawake wa kihindi kwa uzuri wa sura na nywele za asili ila kwenye chura hapo nisiwe muongo hawana kitu na hapo ndipo ule msemo wa kuwa Mungu hakupi kila kitu unapokamilika but they are very beautiful mashaallah kama huyo hapo kwenye avatar yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…