Mluguru Na Mpita Njia!

TEKNOLOJIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
4,305
Reaction score
2,563
Kuna mpita njia mmoja alikuwa anamtafuta jamaa ktk mtaa flani,akamwona Mluguru amekaa nje ya nyumba yake,akaamua kumuuliza,mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo:

Mpita njia: umemwona Mangi?

Mluguru: ndiyo nimemwona, alikuwa kwa Zungu anachinja mbuzi,alipomaliza akaenda mtoni...halafu akarudi.

Mpita njia: kwahiyo yupo nyumbani sio?

Mluguru: ndiyooo (akajibu kwa ukali kidogo).
 
Umeshamaliza Au Bado Unaendeleea??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…