Mmachinga aibuka millionea

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,305
Mtoto mmachinga mwanaafa kutoka nanjilinji ntwara amenyakua millioni 50 za TMT.
 
Mashindano ya tanzania mengi ni upuuzi mtupu

tangu mwanzo alionekana kubebwa mno na majaji, sidhani kama kipaji chake kiko juu zaidi ya wale washiriki woooote! Rich na kundi lako mmevurunda mno aisee mpaka aibu

hivi hili shindano halikua na vigezo vya umri wa washiriki? (Hata BSS walikua na restriction ya umri, below 18 no kushiriki) hawa TMT I wonder vigezo na masharti yao yalikuaje?
 

Bongo kila kitu kinawezekana.
 
Kabebwa wapi jamani. Watanzania wamempigia kura, kura zake zikatosha kawazidi washiriki wengine kwa kura ndiyo maana ameshinda. Hongera Mwanaafa. Kama uliyemtaka wewe hakushinda pole sana kura hazikutosha.
 
dogo full kulia kutoka ntwara bila kitu afu kurudi na kitu si nchezo...inategemea ntu na ntu
 
Yaan kulikua na mkaka anaigiza vizuriiii mi nadhan wanataka aje awe kama Lulu
 
Samahani ni shindano gani hilo....?
 

Ukilinganisha umri na vitu alivyokuwa anavifanya,,she was the best of all. Hata mashindano mengi ya talent huko nchi za watu huwa hayana age restriction,,vipaji vinatakiwa vivumbuliwe vikiwa vidogo ili viendelezwe. Believe me another movie star has been born
 

Hapana ndg yangu kwa yule mtt naweza kusema amestahili alikuwa akibadilika kila mara...Kulinganisha shindano lile na BSS ni utani mBAYA.....nakwenye tasnia ya Film haihitaji umri cz kuna flm nyingine zina hitaji scene za watt km yy itakuwaje watamtumia mtu mzima?
 

Tatizo letu bongo tumezoea kukariri muigizaji linakuwa jitu zima hata kufundishika halifindishiki linaishia kwenye umaLAYA tu...binafsi naweza kusema yule mtt amestahili ktk wale waliongia top 10 niliwakubali yule mtt na mschana mmoja yule mweusi.lkn wengine walicndikiza
 
Dogo yuko juu kwa umri wake kama anaigiza vile,,,then akiwa mkubwa she will be something else,,she deserved it

Nikweli ndg...uzuri wa yule mtt anafiti maeneo.mengi ni.mchangamfu sana niliona cku alikuwa anaHOST daaah.....Nway mitaani kuna watu wenye uwezo bt wanakosa nafasi
 
Lwekaza inabidi season two aende mikoa hata 20 aache ubahili fedha ya epa bado ipo.
 
Yaan kulikua na mkaka anaigiza vizuriiii mi nadhan wanataka aje awe kama Lulu

Umeona eeh,kama said au isarito walikua vizuri,hawakuwahi kukosea kiukweli....hasa said he was the best....anyways,ndo ishakua tena
 
Wangetenganisha mashindano ya wakubwa na watoto. Leo kashinda mtoto kwa vigezo viwili kwanza ni utoto wake na pili ni uwezo wake mkubwa wa kuigiza. itakuwa hatar siku zijazo atakapo shinda mwingine kwa kigezo kimoja cha utoto na vigezo vingine kutozingatiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…