Mmarekani adai kufanyiwa ufisadi

Wizi uko sehemu yeyote hata airport za nchi nyingine hua kuna wizi tu huyo mzungu kweli anaweza kua kaibiwa kweli ila jinsi alivyo eleza naona kaongezea sana na inaonekana hakufata taratibu za kufatilia hiyo mizigo aliyo checkin nayo Amsterdam.
Pia swala la rushwa pia nalo lipo hata sisi watanzania wenyewe tunaliona katika huduma za jamii.

Mabadiliko kweli yanahitajika sana ili kuweza kuondoa haya matatizo kwetu sisi na kwa wageni.
 



You must be kidding!
 
Huyu anakaa nyagwa. Ulofa wake ndo anataka kuutangazia ulimwengu. Ulaya kwenyewe vibaka kibao. Huyu ana bahati sana kwani angeandika hii bado yuko bongo tungembong'oa. Damn him.
 
story haijatulia, kwanza mmarekani angedai rights zake na aende embassy mara moja. But the moral is still there. Tanzania ni nchi inayojiharibu yenyewe. Ufisadi unatumaliza. Tujirekebishe!!
 
The tru face of tanzania starts at the airport and loo at the state of it
`~ stinks of corruption i am told !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
 
From: Ray Bergen
To: Lisana Koliskowski

RUSSIAN AND SCANDINAVIAN
 
Kwa wanao dai hii e-mail ni ay uongo eti kwa sababu hajjandika kama mzungu, eleweni kuwa US kuna watu kutoka kila sehemu, haswa upande wa elimu including researchers.
Wengi ni wale wamesomea nchi za kwao kisha wakahamia US kufanya ma phd n.k. Halafu wanapata uraia.
ni lazima tukubali afrika tuna tatizo kubwa sana la lack of professionalism, hata bandari mombasa wanao, angalao computerization imepunguza sababu hakuna haja ya kukutana mtu unaclear tu online basi.

Tuzingatie kuwa asilimia ya wale wanao complain ni ndogo sana compared to wale ambao huondoka never to come back, kisha wanawadvice wezao wasije. Any one in business ataconfirm.
So ukipata complain hata moja you must act kwa sababu ni indicator ya ufa, na certainly hatutaki kujenga ukuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…