MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Salama wandugu,
Mwanzo kabisa tuliona aliyeanza kufitinisha ni mmarekani kwa kumjaza kiburi zelesky na kuanza kuzozana na Putin.
Mambo yalipoharibika zelesky akabaki pekee yake akiambulia kupewa vijisilaa vidogovidogo.
Zelesky ameona isiwe shida njia anaijua ya kuwaingiza kwenye mgogoro ni kupiga nchi mojawapo ya NATO na kusikilizia game itakwendaje kama hakukusudia angekiri na kusema it is accident yangeisha sasa amekana siyo yeye nini kusudio lake,endelea kusubiri pataeleweka wafitini katika kazi zao.
Mwanzo kabisa tuliona aliyeanza kufitinisha ni mmarekani kwa kumjaza kiburi zelesky na kuanza kuzozana na Putin.
Mambo yalipoharibika zelesky akabaki pekee yake akiambulia kupewa vijisilaa vidogovidogo.
Zelesky ameona isiwe shida njia anaijua ya kuwaingiza kwenye mgogoro ni kupiga nchi mojawapo ya NATO na kusikilizia game itakwendaje kama hakukusudia angekiri na kusema it is accident yangeisha sasa amekana siyo yeye nini kusudio lake,endelea kusubiri pataeleweka wafitini katika kazi zao.