Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
UMefulia ,Mtu mzima ovyooooooooooo!!!!!ROFLMAO.............!! Wamasai ujue ni watu wa ajabu sana, kuna,kipindi nilienda kusuka maeneo ya Amana vijana center , kuna wamasai wengi wanasuka mitindo yao ya kimasai. Wakati ananisuka huyo mmasai, ikafikia kipindi nigeuke uso wangu uangalie upande wake, kumbe alikuwa hajavaa chupi. basi nilikuwa nacheka ndani kwa ndani, mwishoni nikashindwa kuvumilia, nikamwambia baba yoyo kaa vizuri na ushushe hilo shuka lako chini. Nadhani mwenye aligundua nina maanisha nini, then akajirekebisha.
lol!! Utajijuuuuuuu. Naona wewe ndio umefulia hadi ukucha.UMefulia ,Mtu mzima ovyooooooooooo!!!!!
Bora uzime computer yako ukafanye kazi Nyingine.Naona hii umeishindwa You just sign off then off you go.lol!! Utajijuuuuuuu. Naona wewe ndio umefulia hadi ukucha.
Bora uzime computer yako ukafanye kazi Nyingine.Naona hii umeishindwa You just sign off then off you go.
ROFLMAO.............!! Wamasai ujue ni watu wa ajabu sana, kuna,kipindi nilienda kusuka maeneo ya Amana vijana center , kuna wamasai wengi wanasuka mitindo yao ya kimasai. Wakati ananisuka huyo mmasai, ikafikia kipindi nigeuke uso wangu uangalie upande wake, kumbe alikuwa hajavaa chupi. basi nilikuwa nacheka ndani kwa ndani, mwishoni nikashindwa kuvumilia, nikamwambia baba yoyo kaa vizuri na ushushe hilo shuka lako chini. Nadhani mwenye aligundua nina maanisha nini, then akajirekebisha.
No matter Who I;m,but your talking non sense.Naona mmasai wewe ndio maana limekuuma!!!
hili la msichana mrembo,msafi.kukaa na wamasai wachafu kisa tu usukwe linasikitisha
ROFLMAO.............!! Wamasai ujue ni watu wa ajabu sana, kuna,kipindi nilienda kusuka maeneo ya Amana vijana center , kuna wamasai wengi wanasuka mitindo yao ya kimasai. Wakati ananisuka huyo mmasai, ikafikia kipindi nigeuke uso wangu uangalie upande wake, kumbe alikuwa hajavaa chupi. basi nilikuwa nacheka ndani kwa ndani, mwishoni nikashindwa kuvumilia, nikamwambia baba yoyo kaa vizuri na ushushe hilo shuka lako chini. Nadhani mwenye aligundua nina maanisha nini, then akajirekebisha.