Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
Hawa watangaaji (Laizer na Mmasai) ni washamba sana, wanapiga makelele yaani wanaboa wanaumiza masikio kama wanalipwa mshahara sijui nadhani wanatangaza bure,
Kwenye show yao ya Kili Breakfast Waridianaongea kwa sauti ya staha na inayovutia, Joshua nae yuko poa ila hao watangazaji wawili wanaofoji sauti ya kimasai wanaboa sana wapewe onyo na waache ushamba kwenye redio wasikilizaji hatutaki fujo wala mbwembwe za kishamba.
Kwenye show yao ya Kili Breakfast Waridianaongea kwa sauti ya staha na inayovutia, Joshua nae yuko poa ila hao watangazaji wawili wanaofoji sauti ya kimasai wanaboa sana wapewe onyo na waache ushamba kwenye redio wasikilizaji hatutaki fujo wala mbwembwe za kishamba.