Kama ni Dawa za Kuharisha wao ni Kiboko niliwah kunywa dawa yao moja nilihara mpk nikajuta kunywa ilinibid kulala choon mana vitu vinatoka vya kila Aina aisee alafu havina taarifa unasikia tu alafu inabid ufungue speed 220 toilet ila nakushaur kama uko nyumba ya kupanga alafu ina uhaba wa Vyoo usinyweeHabari wana jf..!! Ndugu zangu kuna jambo naomben msaada wenu huku kwetu wamasai wamekuja kwa wingi sanaa,,, eti wanauza dawa aina ya mitishamba ambazo zinafanya kazi ya kutibu mambo mbalimbali kama kupunguza unene wa mwili na n.k,, Tena mmasai inasema mtu unapungua ndani ya wiki moja ila unaharisha sanaaa ndani ya siku tatu.... Kwenu wadau ni kweli mtu anaweza pungua au jamaa wanatupiga hela....???? Msaada plz
Je ulipungua unene au...??Kama ni Dawa za Kuharisha wao ni Kiboko niliwah kunywa dawa yao moja nilihara mpk nikajuta kunywa ilinibid kulala choon mana vitu vinatoka vya kila Aina aisee alafu havina taarifa unasikia tu alafu inabid ufungue speed 220 toilet ila nakushaur kama uko nyumba ya kupanga alafu ina uhaba wa Vyoo usinywee
Mmmmmmh...? HatariiiiiHayo madawa ya kualisha sio mazuri wengine hua wanaalisha hadi wanapoteza uhai.