MMASAI UNAMUAMINI....??

Binman

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
68
Reaction score
30
Habari wana jf..!! Ndugu zangu kuna jambo naomben msaada wenu huku kwetu wamasai wamekuja kwa wingi sanaa,,, eti wanauza dawa aina ya mitishamba ambazo zinafanya kazi ya kutibu mambo mbalimbali kama kupunguza unene wa mwili na n.k,, Tena mmasai inasema mtu unapungua ndani ya wiki moja ila unaharisha sanaaa ndani ya siku tatu.... Kwenu wadau ni kweli mtu anaweza pungua au jamaa wanatupiga hela....???? Msaada plz
 
Jaribu kwanza hizo dawa mkuu then utupe mrejesho maana huku kwetu bado hawajafika.

Siku hizi wamasai wameambiwa wajishughulishe na biashara zingine ili wapunguze wingi wa mifugo yao wasitegemee chanzo kimoja tu cha mapato.

Unaweza jiuliza mwenyewe na kupata jibu maana mmasai wa leo kila uginjwa dawa yake anayo.
 
Kama ni Dawa za Kuharisha wao ni Kiboko niliwah kunywa dawa yao moja nilihara mpk nikajuta kunywa ilinibid kulala choon mana vitu vinatoka vya kila Aina aisee alafu havina taarifa unasikia tu alafu inabid ufungue speed 220 toilet ila nakushaur kama uko nyumba ya kupanga alafu ina uhaba wa Vyoo usinywee
 
Kama dawa ya kuharisha ili kupunguza unene basi haina haja ya kuwatafuta wamasai. Tafuta mbegu ya mnyonyo kisha tafuna na uimeze.

TANBIHI: Meza mbegu zima kama una uzito zaid ya kilogram 100, pungufu ya hapo usijaribu. Meza nusu yake.
Na ukimeza kaa karibu na choo, na hakikisha haupo mwenyewe hayo maeneo.
 
Je ulipungua unene au...??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…