Mmba kichwani

Mmba kichwani

OSOKONI

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
10,965
Reaction score
5,339
wana JF naombeni msaada nini dawa ya mmba kichwani, asanteni!
 
Shampoo yenye kiambato cha Celenium Sulphide, zinapatikana maduka makubwa ya dawa na vipodozi. SH Amon kwa mfano...
 
Hata mimi nna hilo tatizo nimetumia ant dandruf shampoo nyingi bila mafanikio l, mafuta ya sulphur hadi nkatumia blow out kusteam nywele wapi? hamna kitu
 
wana JF naombeni msaada nini dawa ya mmba kichwani, asanteni!

Hata mimi nna hilo tatizo nimetumia ant dandruf shampoo nyingi bila mafanikio l, mafuta ya sulphur hadi nkatumia blow out kusteam nywele wapi? hamna kitu
Mkuu OSOKONI na Mkuu Pukudu Dawa

ya Mba Tiba Mbadala Ndimu au limau: Kabla kwenda kukoga jisugue limau ndani ya kichwa na baadae yale maganda ya limau yatie

katika maji ya kukoga yaani yawe maji ya Uvuguvugu halafu ukoshe kwa maji yale kwanza na baadae utumie maji yaliyo safi.


Fenugreek kwa kiswahili inaitwa Uwatu. Hii unachukua vijiko 2 vya chai vya fenugreek ( Uwatu) unazirowesha katika maji usiku

mzima ili zipate kulainika, halafu unazipoda ponda na baadae unapakaa ndani ya kichwa na uwache kwa muda wa saa moja na baadae na

kuzikosha ikiwa utafanya hivi siku zote mbaa wataondoka Inshallah bila tabu yoyote. Tumieni kisha muje hapa munipe Feedback.
 
Mkuu MziziMkavu shukrani hapo kwenye limau nimekusoma je Fenugreek au uwatu ni nini?
 
Mkuu OSOKONI na Mkuu Pukudu Dawa

ya Mba Tiba Mbadala Ndimu au limau: Kabla kwenda kukoga jisugue limau ndani ya kichwa na baadae yale maganda ya limau yatie

katika maji ya kukoga yaani yawe maji ya Uvuguvugu halafu ukoshe kwa maji yale kwanza na baadae utumie maji yaliyo safi.


Fenugreek kwa kiswahili inaitwa Uwatu. Hii unachukua vijiko 2 vya chai vya fenugreek ( Uwatu) unazirowesha katika maji usiku

mzima ili zipate kulainika, halafu unazipoda ponda na baadae unapakaa ndani ya kichwa na uwache kwa muda wa saa moja na baadae na

kuzikosha ikiwa utafanya hivi siku zote mbaa wataondoka Inshallah bila tabu yoyote. Tumieni kisha muje hapa munipe Feedback.

Asante mkuu, nitajaribu mungu akupe afya uzidi kutusaidia
 
Back
Top Bottom