MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife

MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu
 
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu

[emoji23][emoji23][emoji23] Apo sasa ndo tunapoanzia alikokua aseme haiwezekani usiku na kanga moja
 
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu
😆 😆 😆 😆 😆 😆
 
NANI JEMBE;

Nyumbani kwa mlevi, kwa nje kuna kisima kirefu
Siku moja Mume alirudi usiku amelewa top, Mambo yakawa hivi:
MME: Fungua mlango
MKE: Leo sifungui Nimechoshwa na ulevi wako
MME: Kama haufungui najitupia kwenye kisima bora nife
MKE: Kufa hauna faida yoyote kwangu
MME: akachukua jiwe kubwa akalitupia kwenye kisima Dubwiii..
MKE: akastuka haraka akajifunga kanga moja akatoka nje.
Ghafla Mmewe akaingia ndani na kumfungia Mkewe nje.
MKE: Nifungulie, la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MME: Piga hizo kelele zako wakija majirani waambie unatoka wapi usiku huu na kanga moja.

Jamani ndoa navituko, we acha tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom