Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aongezee na pepsi bariiiidiKilomita 180, Hapa Chai tayari, lete na chapati mbili.
Ata sisi tunayo magugu maji ..teh teh teh Ali sikika said kabla ya kupiga risasiWanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ata sisi tunayo magugu maji ..teh teh teh Ali sikika said kabla ya kupiga risasi
Cc Botanist Kaka Mboya National Herbarium of Tanzania TPRINadhani utakuwa mfano wa mmea wa kiazi au matembele,maana km 180 huu lazima utakuwa unatambaa...
Kilombero kuna Mafufu haya huelea kama kisiwa unaweza hata kujenga kibandaWanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
km 180 ni hapa na Mikese, huko Morogoro...Wanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
Ccm ni mafiiWanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
Waache uhuni, haya si ni majani?Wanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
Kweli aiseeee duh!duh aiseeeee