Mmenuna nini?

sio mumewe huyo, huyo ni mwizi tu.

...duuuh! GP ajabu gani mke kumpangusa shati mumwewe? ...inaonekana mamsapu wako akikugusa tu (hadharani) si msonyo huo utaoutoa πŸ˜€
 
kila siku nikiwaona wamenuniana kwenye magari yao ya nguvu naikumbukia hii thread na kuji-smilia tu.... nashindwa ya nini kama maisha yenyewe ndio hayo. heri mie niko kwenye matatu!!!!! halafu naskia kuwapiga picha nije nipost hapa jf!
 
kila siku nikiwaona wamenuniana kwenye magari yao ya nguvu naikumbukia hii thread na kuji-smilia tu.... nashindwa ya nini kama maisha yenyewe ndio hayo. heri mie niko kwenye matatu!!!!! halafu naskia kuwapiga picha nije nipost hapa jf!

Vipi maisha yanasemaje Nairobi huko?πŸ™„
 
...duuuh! GP ajabu gani mke kumpangusa shati mumwewe? ...inaonekana mamsapu wako akikugusa tu (hadharani) si msonyo huo utaoutoa πŸ˜€

si ajabu, lakini kuna kitu kitafuata hapo akimaliza usishangae akasema "honey ule mpango tulioongea juzi vipi kuhusu kunipeleka shopping?".
hapo kidume lazima ujichekeshe-chekeshe!.
wizi mtupu.
 
Vipi maisha yanasemaje Nairobi huko?πŸ™„


Nairobi bomba kabisa... baridi tu ndio nyingi, lakini twashkuru. waja lini??? nikulaki airport na limo ya nguvu...hatutanuniana...duh kwenye limo????? πŸ™‚
 
haya tuambie ya kwako ikoje,maana unasema utafikiri ya kwako inanoga kama zamani,kwenye kuchangia hoja mnajifanya za kwenu nzuri kumbe mzimeshaoza ,hamzungumzi vizuri na wenzi wenu,wakali kuliko pilipili,mko busy kwa sana na mnawasingizia wenza wenu wamewachosha.hebu mseme ukweli naamini wengi wetu huwa tunanuna,haya kila mtu ajikague kwanza!
 
Nafikiria kuanzisha kikundi cha matarumbeta barabarani 'kuwameremeta' couples wanaokwenda makazini!"


haaaa nilikuwa cjacheka leo...lol
 
Nairobi bomba kabisa... baridi tu ndio nyingi, lakini twashkuru. waja lini??? nikulaki airport na limo ya nguvu...hatutanuniana...duh kwenye limo????? πŸ™‚


Nina mwaliko in two months to come,, nitakwambia kabla....i cant miss...si nasikia kwen limo kuna kila kitu so kununiana kutatoka wapi!
 
mhh jamani utafikiri mnanisema mimi,maana nature ya MR ni kununa ,sasa asubuhi kwenye gar huwa najichekesha weeee,mi ananiuzi lakini!ye wapi kanuna tu..ila akiwa na idea yake tu ndio atazungumza nikimuuliza anasema anapiga mahesabu ,uzuri nature yangu ni ucheshi ,kununa ni adui yangu hata kama nimekasirika vp hutajua ,
 

...hivi hata wewe ukiwa unaendesha yeye hununa tu? mnh, ana hila!
 
Mh, Babu Swahili hilo nalo neno, hasa hapo uliposema hata kwenye masherehe mtu ukiangalia album au video unakuta kweli watu wamenuna utadhani wapo msibani.
Lakini hii si kwa wote, mimi na mwenza wangu tuliamua siku nyingi kwamba raha tutajipa wenyewe, hata kwenye daladala tunapiga story na kuchekeshana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…