Mmeshamaliza hesabu zenu sasa tulieni Wanamume wamalize na Makombora yao Matatu tu Matakatifu

Mmeshamaliza hesabu zenu sasa tulieni Wanamume wamalize na Makombora yao Matatu tu Matakatifu

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie (Mazuzu) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa.

Tunaenda Kukamilisha na Makombora yetu Matatu tu kisha tukutane Ngao ya Jamii Mwezi ujao ( August 2022 ) na endeleeni tu Kukariri kuwa na Msimu ujao utakuwa Wenu kama ulioisha.
 
Mimi nasikia Simba wakisema tukutane ngao ya jamii. Hivi inamaana utaratibu wa ngao wa jamii umebadilika? Maana nilivyojua ngao ya jamii ni Yanga vs Coastal.
Bora tukutane na na mbumbumbu kuliko coastal,mikia haruendi nao ata kweny 30 za nyongeza
 
Tofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie ( Mazuzu ) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa..
Kichuya[emoji23][emoji23]
 
Wazee Wa Kubandua Sportpesa Na Kuweka M-Bet, Unga Unga Mwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20220715_082848.jpg
IMG_20220715_083458.jpg
 
Manzoki & Outtara sio makombora.

Kombola limekwisha dodoka jangwani.
IMG_0647.jpg
 
Daah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.

Hakika mhindi sio wa kupewa timu ni wabahili sijapata kuona ,mudy ni mjanja mjanja Sana kmmk zake

Ko hutaki hata NYONI MAHERENI abaki?

[emoji23][emoji23]
 
Tofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie (Mazuzu) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa.

Tunaenda Kukamilisha na Makombora yetu Matatu tu kisha tukutane Ngao ya Jamii Mwezi ujao ( August 2022 ) na endeleeni tu Kukariri kuwa na Msimu ujao utakuwa Wenu kama ulioisha.
Kina manzoki, na Ngomo ndo makombora mkuu? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Daah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.

Hakika mhindi sio wa kupewa timu ni wabahili sijapata kuona ,mudy ni mjanja mjanja Sana kmmk zake
hahahahahaaaaa makolo ulibwanjiiii
 
Daah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.

Hakika mhindi sio wa kupewa timu ni wabahili sijapata kuona ,mudy ni mjanja mjanja Sana kmmk zake
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom