MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Bora tukutane na na mbumbumbu kuliko coastal,mikia haruendi nao ata kweny 30 za nyongezaMimi nasikia Simba wakisema tukutane ngao ya jamii. Hivi inamaana utaratibu wa ngao wa jamii umebadilika? Maana nilivyojua ngao ya jamii ni Yanga vs Coastal.
Kichuya[emoji23][emoji23]Tofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie ( Mazuzu ) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa..
Tukutane ngao ya hisani mtani wangu KOLO ULIBWANJITofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie ( Mazuzu ) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa...
Aisee hio team ina njaa [emoji23][emoji23] watakosa nauli ya kurudi hawaWazee Wa Kubandua Sportpesa Na Kuweka M-Bet, Unga Unga Mwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291047View attachment 2291048
Daah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.Wazee Wa Kubandua Sportpesa Na Kuweka M-Bet, Unga Unga Mwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291047View attachment 2291048
Watu wakiFanya biashara kumbe ni kitu kibaya au kizuri.Aisee hio team ina njaa [emoji23][emoji23] watakosa nauli ya kurudi hawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe ndio aliokuwa anawazungumzia eymaelMimi nasikia Simba wakisema tukutane ngao ya jamii. Hivi inamaana utaratibu wa ngao wa jamii umebadilika? Maana nilivyojua ngao ya jamii ni Yanga vs Coastal.
Hii timu inaendeshwa kijanjajanja sana.Wazee Wa Kubandua Sportpesa Na Kuweka M-Bet, Unga Unga Mwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291047View attachment 2291048
Aisee hio team ina njaa [emoji23][emoji23] watakosa nauli ya kurudi hawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Daah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.
Hakika mhindi sio wa kupewa timu ni wabahili sijapata kuona ,mudy ni mjanja mjanja Sana kmmk zake
Hii timu inaendeshwa kijanjajanja sana.
Kina manzoki, na Ngomo ndo makombora mkuu? 🤣🤣🤣🤣🤣Tofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie (Mazuzu) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa.
Tunaenda Kukamilisha na Makombora yetu Matatu tu kisha tukutane Ngao ya Jamii Mwezi ujao ( August 2022 ) na endeleeni tu Kukariri kuwa na Msimu ujao utakuwa Wenu kama ulioisha.
hahahahahaaaaa makolo ulibwanjiiiiDaah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.
Hakika mhindi sio wa kupewa timu ni wabahili sijapata kuona ,mudy ni mjanja mjanja Sana kmmk zake
Watarudi Kwa Mguu [emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hio team ina njaa [emoji23][emoji23] watakosa nauli ya kurudi hawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah nukiona Hawa wachezaji eti watakwepo msimu ujao nakosa na nguvu jumla jumla ,mood inakata kabisa kmmk.
Hakika mhindi sio wa kupewa timu ni wabahili sijapata kuona ,mudy ni mjanja mjanja Sana kmmk zake