Mmeze au mteme ukweli ndio huu Alikiba anamtegemea sana Diamond kimuziki

Mmeze au mteme ukweli ndio huu Alikiba anamtegemea sana Diamond kimuziki

mtotomtamuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
602
Reaction score
1,459
"Diamond ni daraja la kiba, Diamond platinum "Simba" anajitahidi sana, sana tena sana kumvuta Kiba awepo kwenye game lakini Kiba nadhani hajagundua jambo.

Diamond kama asinge mtupia dongo Kiba nadhani hata hiyo Seduced me isingevunja record ya Diamond" amesema na kuongeza

"Diamond anafanya mambo makubwa sana kwa kuwaenzi mashabiki wake ktk kila nyanja ya muziki wake ikiwemo
kuzidi kutoa muziki au mashairi bila kuchoka, ana dance ndani ya video na stegini pia, anaibua vipaji vipya,

Anajitahidi kuukuza muziki na kuitangaza nchi kwa kufanya collabo na wanamuziki wa nje ya mipaka ya Tzee,

Ana promote muziki wake zaidi."
Kuhusu Kiba yeye AliKiba hafanyi hivyo...japo ni mwanamuziki mzuri sana
sana.. Aliulizwa swali na shabiki akiwa anahojiwa na kituo cha radio EA Radio akiwa na Dulla one kuwa "Umesema seduce me ni kama starter yaani before mlo kamili je! Tutegemee lini mlo wenyewe?"

Alichojibu Kiba kwa shabiki ni kwamba yeye aseme tu akiwa na njaa aletewe chakula lakini inawezekana shabiki akashiba starter...sasa hii inamaanisha nn...zaidi ya kumsubiri King kiba baada ya miaka mitatu sasa huoni hapo anakaribia kuwa Zilipendwa?

Maana muziki si kama Filamu ambapo unaweza wika kama kina Rambo
wana miaka 80 bado wapo ktk game muziki ukifikia 40yrs tu hakuna sponsors watakaokupa shavu watadili na kizazi kipya...

Hivyo basi ili kiba awe kama Diamond ana kila sababu ya kutowakalia kimya mashabiki zake" alimalizia msanii
huyo anayekubalika kwa uwezo wake mkubwa wa kuigiza
 
Tangazo:
Nalia kwenye misiba kwa bei poa tu.

(1) Kilio cha kawaida shilingi 100, 000
(2)Kilio cha mayowe shilingi 150, 000
(3)Kulia na kugaagaa chini shilingi 200, 000
(4)Kulia na kutishia kujitupa kaburini shilingi 300, 000
(5)Kulia na kujitupa kaburini kabisa shilingi 500, 000

*Kwa booking nitumie PM
 
Mbona nyie team domo huwa hamuish kumuwaza King kiba

Mlitaka kaz jamaa kaachia ngoma mnaanza kulia lia tena
 
Magufur ana kaz sana kufanikisha tanzania ya vuwanda kwa watanzania kama wewe
 
"Diamond ni daraja la kiba, Diamond platinum "Simba" anajitahidi sana, sana tena sana kumvuta Kiba awepo kwenye game lakini Kiba nadhani hajagundua jambo.

Diamond kama asinge mtupia dongo Kiba nadhani hata hiyo Seduced me isingevunja record ya Diamond" amesema na kuongeza

"Diamond anafanya mambo makubwa sana kwa kuwaenzi mashabiki wake ktk kila nyanja ya muziki wake ikiwemo
kuzidi kutoa muziki au mashairi bila kuchoka, ana dance ndani ya video na stegini pia, anaibua vipaji vipya,

Anajitahidi kuukuza muziki na kuitangaza nchi kwa kufanya collabo na wanamuziki wa nje ya mipaka ya Tzee,

Ana promote muziki wake zaidi."
Kuhusu Kiba yeye AliKiba hafanyi hivyo...japo ni mwanamuziki mzuri sana
sana.. Aliulizwa swali na shabiki akiwa anahojiwa na kituo cha radio EA Radio akiwa na Dulla one kuwa "Umesema seduce me ni kama starter yaani before mlo kamili je! Tutegemee lini mlo wenyewe?"

Alichojibu Kiba kwa shabiki ni kwamba yeye aseme tu akiwa na njaa aletewe chakula lakini inawezekana shabiki akashiba starter...sasa hii inamaanisha nn...zaidi ya kumsubiri King kiba baada ya miaka mitatu sasa huoni hapo anakaribia kuwa Zilipendwa?

Maana muziki si kama Filamu ambapo unaweza wika kama kina Rambo
wana miaka 80 bado wapo ktk game muziki ukifikia 40yrs tu hakuna sponsors watakaokupa shavu watadili na kizazi kipya...

Hivyo basi ili kiba awe kama Diamond ana kila sababu ya kutowakalia kimya mashabiki zake" alimalizia msanii
huyo anayekubalika kwa uwezo wake mkubwa wa kuigiza
Diamond na Kiba ni sawa na Kanumba na Ray.

Diamond ni sawa na Kanumba ,kiba ni sawa na Ray.
 
Hilo halina ubishi
Ila kilichotokea juzi ni kama Diamond aliombwa ambebe kwa kuanza na yale maneno kutokea kusikojulikana.
 
We nae watu tuna mgonjwa wa kimataifa we unawaza tu aly na daimond
 
kuwa kiba katoa wimbo saa mbili asubuhi ....diamond katoa siku hiyo hiyo saa tano usiku!kajipange
 
We nae watu tuna mgonjwa wa kimataifa we unawaza tu aly na daimond
7c933ac5649f5072a18a0abc5855c216.jpg
 
Tangazo:
Nalia kwenye misiba kwa bei poa tu.

(1) Kilio cha kawaida shilingi 100, 000
(2)Kilio cha mayowe shilingi 150, 000
(3)Kulia na kugaagaa chini shilingi 200, 000
(4)Kulia na kutishia kujitupa kaburini shilingi 300, 000
(5)Kulia na kujitupa kaburini kabisa shilingi 500, 000

*Kwa booking nitumie PM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tumefika huku mkuu sizonje legeza maisha yamekaba
 
Back
Top Bottom