LGE2024 Mmeziona kanuni za kuendesha kampeni za Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa? Kwanini Mkuu Wa Polisi Wilaya amepewa nguvu kubwa hivi?

LGE2024 Mmeziona kanuni za kuendesha kampeni za Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa? Kwanini Mkuu Wa Polisi Wilaya amepewa nguvu kubwa hivi?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Kama mnavyojua kesho kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa zinaanza kesho.

Wakati napitia hizi kanuni za kampeni za Uchaguzi kuna kipengele nimekiona ambacho kama wapinzani kinaweza kutumika vibaya


Kulingana na kanuni za kampeni kipengele 27 (1) ni kwamba Mkuu Wa Polisi Wilaya ndio mtu anayehusika na mambo yote ya kiusalama katika kipindi cha kampeni na hata ratiba ya kampeni ni lazima ipite kwake kwa ajili ya kuhakikiwa.

Screenshot_20241119-132112.jpg

==============

- Huyu Mkuu Wa Polisi Wilaya anateuliwa na nani? Na kama akipewa hiyp mandate ya kuwasilishwa ratiba ya kampeni akiikataa itakuwaje?

- Kwanini Vyama vya siasa visikae pamoja kwenye Wilaya kuchagua mtu ambaye atahusika kusimamia Ulinzi wa Uchaguzi badala ya kutegemea hao viongozi waliochaguliwa kisiasa?

- Kama Jeshi La Polisi linaweza kusitisha maandamano kwa kigezo cha 'Ulinzi na Usalama' nini kinasababisha huyo Mkuu Wa Polisi Wilaya kufanya the same?

Soma kanuni zote hapo chini
 

Attachments

Kimanti ni kawaida. Nimeshiriki chaguzi zote tangu 1995 na huu ni utaratibu wa kawaida na haujawahi kuleta tatizo.

Maana kabla ya ratiba kuwasilishwa kwa OCD vyama huridhiana kuhusu ratiba husika ili wasiingiliane kwenye mikutano ya Kampeni.

Ni "formality" tu. Na madaraka hayo ni madogo kuliko yale yaliyoko kwenye Sheria za vyama vya siasa.
 
Wakuu,

Kama mnavyojua kesho kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa zinaanza kesho.

Wakati napitia hizi kanuni za kampeni za Uchaguzi kuna kipengele nimekiona ambacho kama wapinzani kinaweza kutumika vibaya


Kulingana na kanuni za kampeni kipengele 27 (1) ni kwamba Mkuu Wa Polisi Wilaya ndio mtu anayehusika na mambo yote ya kiusalama katika kipindi cha kampeni na hata ratiba ya kampeni ni lazima ipite kwake kwa ajili ya kuhakikiwa.


==============

- Huyu Mkuu Wa Polisi Wilaya anateuliwa na nani? Na kama akipewa hiyp mandate ya kuwasilishwa ratiba ya kampeni akiikataa itakuwaje?

- Kwanini Vyama vya siasa visikae pamoja kwenye Wilaya kuchagua mtu ambaye atahusika kusimamia Ulinzi wa Uchaguzi badala ya kutegemea hao viongozi waliochaguliwa kisiasa?

- Kama Jeshi La Polisi linaweza kusitisha maandamano kwa kigezo cha 'Ulinzi na Usalama' nini kinasababisha huyo Mkuu Wa Polisi Wilaya kufanya the same?

Soma kanuni zote hapo chini
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 5
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
Wakuu,

Kama mnavyojua kesho kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa zinaanza kesho.

Wakati napitia hizi kanuni za kampeni za Uchaguzi kuna kipengele nimekiona ambacho kama wapinzani kinaweza kutumika vibaya


Kulingana na kanuni za kampeni kipengele 27 (1) ni kwamba Mkuu Wa Polisi Wilaya ndio mtu anayehusika na mambo yote ya kiusalama katika kipindi cha kampeni na hata ratiba ya kampeni ni lazima ipite kwake kwa ajili ya kuhakikiwa.


==============

- Huyu Mkuu Wa Polisi Wilaya anateuliwa na nani? Na kama akipewa hiyp mandate ya kuwasilishwa ratiba ya kampeni akiikataa itakuwaje?

- Kwanini Vyama vya siasa visikae pamoja kwenye Wilaya kuchagua mtu ambaye atahusika kusimamia Ulinzi wa Uchaguzi badala ya kutegemea hao viongozi waliochaguliwa kisiasa?

- Kama Jeshi La Polisi linaweza kusitisha maandamano kwa kigezo cha 'Ulinzi na Usalama' nini kinasababisha huyo Mkuu Wa Polisi Wilaya kufanya the same?

Soma kanuni zote hapo chini
Kwanza siku zote ndio mwenye nguvu
 
Wakuu,

Kama mnavyojua kesho kampeni za Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa zinaanza kesho.

Wakati napitia hizi kanuni za kampeni za Uchaguzi kuna kipengele nimekiona ambacho kama wapinzani kinaweza kutumika vibaya


Kulingana na kanuni za kampeni kipengele 27 (1) ni kwamba Mkuu Wa Polisi Wilaya ndio mtu anayehusika na mambo yote ya kiusalama katika kipindi cha kampeni na hata ratiba ya kampeni ni lazima ipite kwake kwa ajili ya kuhakikiwa.


==============

- Huyu Mkuu Wa Polisi Wilaya anateuliwa na nani? Na kama akipewa hiyp mandate ya kuwasilishwa ratiba ya kampeni akiikataa itakuwaje?

- Kwanini Vyama vya siasa visikae pamoja kwenye Wilaya kuchagua mtu ambaye atahusika kusimamia Ulinzi wa Uchaguzi badala ya kutegemea hao viongozi waliochaguliwa kisiasa?

- Kama Jeshi La Polisi linaweza kusitisha maandamano kwa kigezo cha 'Ulinzi na Usalama' nini kinasababisha huyo Mkuu Wa Polisi Wilaya kufanya the same?

Soma kanuni zote hapo chini
Labda sababu ni kuimarisha usalama.
 
Back
Top Bottom