cha kunywea maji lol
Mtafute Ras Simba,usipojua ela yako inaludishwaSafi binamu, hata Mimi pia kiingereza changu ni cha kawaida sana, natamani siku nikifahamu zaidi (inanilazimu haswa kutokana na kazi zangu)
cha kunywea maji lol
Hivi si nasikia British Council wapo vizuri katika Training juu ya lugha ya Malikia,nataka niende maana 2018 najiandaa kuwa mbunge wa East Africa
Hivi si nasikia British Council wapo vizuri katika Training juu ya lugha ya Malikia,nataka niende maana 2018 najiandaa kuwa mbunge wa East Africa
ndio wanatoa mie mwenyewe nna mpango wa kwenda pale.......
Hiyo hela kwanini usinipe mieee
Hiyo hela kwanini usinipe mieee
ndio wanatoa mie mwenyewe nna mpango wa kwenda pale.......
Nasikiaga wanafundisha vizuri, sijajua wanafundishaga mambo ya past na future tense au vp , maaana hayo mambo siyatak kabisa, kwa nn usiombe ushoga na wema jaman, maana wema mashoga zake wanamtumia kwa mengi
Domo lileee
Hahhhahhhahhahha aisee ngoja na mie nianze kuchukua tuition hapa jirani tutapitwa na mengii
Stay off his long rammer, or face bad karma
Kiranga, JF's Dalai Lama, spewing dharma
I hospitalize weak theories, like Amana
Without the flashy help of a Dolce & Gabana
Rhymes churner, to this desert bringing manna,
Carrying the cross and banner, diction golden like Ghana
With a platinum plaque in a manner, fixing like a spanner
Separating the spammers from the charmers
Oh bummer, I flip winter to summer
With more drama than Obama killing Osama
Diction and grammar, lethal like rays called gamma
This high sea is nothing to til, I kill, you little farmer
Nasikiaga wanafundisha vizuri, sijajua wanafundishaga mambo ya past na future tense au vp , maaana hayo mambo siyatak kabisa, kwa nn usiombe ushoga na wema jaman, maana wema mashoga zake wanamtumia kwa mengi
hiyo hela kwanini usinipe mieee