Watanzania wenzangu nimepewa swali hili na kakangu ambae tangu akiwa tanzania
alikuwa mwoga wa vitko vya mabinti wa kibongo akaniuliza bongo kuna
mademu wa kuoa???
Kama wapo naombeni mni PM Niwape connection
@@@#$^%^^&*& & Mademu ina maana gani????
Sijambo
za kwako tumsaidiee jamani ama ndio contact hiyo??????preta
tuwakilishe??
nadhani anamaanisha vicheche...hujambo lakini!
Nasumbuliwa na kichwa balaa, vipi nawe mzima mamii??
Mhh kumbe maana hili jina la Demu huwa silielewagi!
pole sana my dear....kiswahili kimekuwa kipana sana siku hizi...wanawake wanaitwa kila jina.....wanaume wao huwa hawana? au ndio kina buzi, ATM n.k?
Nasumbuliwa na kichwa balaa, vipi nawe mzima mamii??
Mhh kumbe maana hili jina la Demu huwa silielewagi!
umeanza
kiswahili"""""""""""KIPANA"""""
Jamani preta upana adi kiswahili??ama ulikuwa unaamaanisha kwingine
jamani polee sana mungu akutie hamu ya uponyaji
Inawezekana bongo wasichana wa kuoa ni wachache sana, wengi hawajatulia, utawaona wakiwa migongo wazi, samahani sijamsema mtu, ila nawasilisha hoja binafsi.
Mnaharibu hadhi ya JF kuna siku mtu atapost anatafuta demu wa kuto%*"£$?:><"£$%^&*(()|%mba
Watanzania wenzangu nimepewa swali hili na kakangu ambae tangu akiwa tanzania
alikuwa mwoga wa vitko vya mabinti wa kibongo akaniuliza bongo kuna
mademu wa kuoa???
Kama wapo naombeni mni PM Niwape connection