Mmiliki wa Haidery Plaza (Patrick Haidery)

Hiyo ni mali ya baba yake,au amesharithi tayari
 
Hakuna kitu hapo.Mmiliki ni Fidahussein,mwenye africarriers
 
Hii habari ndo zile zile mmiliki wa kampuni ya mabasi ya DCM ni David Cleopa Msuya kwa sababu majina yana fanana
 
Mmiliki ni mhindi na sio patrick

labda kama anatumia jina ha haidery kupata ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…