Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Ukurasa wa X wa East Africa TV wamepost kuonesha kuwa mmiliki wa jengo la Kariakoo amekamtwa
Msemaji Mkuu wa Serikali, Thobias Makoba, ametangaza kuwa mmoja wa wamiliki wa jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo, na kusababisha vifo vya watu 29 pamoja na majeruhi kadhaa, tayari amekamatwa.
Makoba alibainisha kuwa taratibu za kisheria dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea, huku akisisitiza kuwa serikali haitasita kuchukua hatua kali kwa yeyote atakayebainika kuwa na makosa yanayohusiana na tukio hilo.
Source: EastAfrica Radio
Ukurasa wa X wa East Africa TV wamepost kuonesha kuwa mmiliki wa jengo la Kariakoo amekamtwa
Msemaji Mkuu wa Serikali, Thobias Makoba, ametangaza kuwa mmoja wa wamiliki wa jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo, na kusababisha vifo vya watu 29 pamoja na majeruhi kadhaa, tayari amekamatwa.
Makoba alibainisha kuwa taratibu za kisheria dhidi ya mtuhumiwa huyo zinaendelea, huku akisisitiza kuwa serikali haitasita kuchukua hatua kali kwa yeyote atakayebainika kuwa na makosa yanayohusiana na tukio hilo.
Source: EastAfrica Radio