KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Mmiliki wa KIU Bassajabalaba ni mfanyabiashara anayeendesha shuguri zake kwa njia za kifisadi na zenye utata.
Pamoja na biashara mbalimbali alizopata kuzifanya alikuwa ni muuzaji wa ngozi za wanyama (raw hides) nchi za nje, alijipatia mikopo mikubwa kutoka benki hili kufanikisha biashara hizo.
Lakini Bassajabalaba hakuweza kurejesha fedha za benki na halimanusura afilisiwe kama isingekuwa rafiki yake rais Mseveni kuingilia kati.
Itakumbukwa kuwa Bassajabalaba anatokea sehemu moja na Museveni ni tu wake wa karibu na alikuwa anafadhili chama cha Mseveni kama kichaka cha kuficha madhambi yake.
Mtu huyohuyo alikuwa na makesi kibao mahakamani yanayohusiana na kujipatia mali za baraza la waislamu kinyume na sheria baada ya kula njama na viongozi wa baraza hilo.
Bassajabalaba hakuishia hapo alienda mbali zaidi na kuingia mikataba ya kifasadi na Halmashauri ya jiji la Kampala ya kuendesha masoko ya Kampala.
Baadae mikataba ikabadilishwa kinyemela nakumwezesha kuwa mmiliki kamili wa masoko hayo, kwa bahati nzuri wafanyabiashara katika masoko hayo wakawa ngangari nakusababisha vurugu kubwa siku ya makabidhiano ambapo magari yalichomwa moto na mali nyingi kuharibiwa, na safari hii ilikuwa ni Mseveni kuingilia kati na kufutilia mbali mikataba ya kimangumashi.
Hata chuo chake KIU Kampala main campus kilianza kwa misukosuko kati yake na mamlaka zinazousika na vyuo vya elime ya juu,baadhi ya matatizo ilikuwa ni vitivo kutokidhi viwango kutokuwa na wahadhiri wakutosha na wakati mwingine viwango vyao kuwa chini.
Lakini kwa ukaribu wake na rais ikawa ni funika kombe mwanaharamu apite.
Kwa ufupi huyo ndie mwenye vyuo vya KIU hata hapa kwetu naona mambo ni yale yale mara waadhiri hawalipwi mishahara kwa miezi tisa mara wanachuo kulazimishwa kulipia ada kwa US Dollar.
Mamlaka zinazohusika hazina budi kumfuatilia huyu bwana kwa karibu vinginevyo wa Tanzania tutaula wa chuya, kwa jeuri anayoonyesha uenda amekuja na kimemo toka kwa Mseveni kwenda kwa mkuu wa kaya.
Pamoja na biashara mbalimbali alizopata kuzifanya alikuwa ni muuzaji wa ngozi za wanyama (raw hides) nchi za nje, alijipatia mikopo mikubwa kutoka benki hili kufanikisha biashara hizo.
Lakini Bassajabalaba hakuweza kurejesha fedha za benki na halimanusura afilisiwe kama isingekuwa rafiki yake rais Mseveni kuingilia kati.
Itakumbukwa kuwa Bassajabalaba anatokea sehemu moja na Museveni ni tu wake wa karibu na alikuwa anafadhili chama cha Mseveni kama kichaka cha kuficha madhambi yake.
Mtu huyohuyo alikuwa na makesi kibao mahakamani yanayohusiana na kujipatia mali za baraza la waislamu kinyume na sheria baada ya kula njama na viongozi wa baraza hilo.
Bassajabalaba hakuishia hapo alienda mbali zaidi na kuingia mikataba ya kifasadi na Halmashauri ya jiji la Kampala ya kuendesha masoko ya Kampala.
Baadae mikataba ikabadilishwa kinyemela nakumwezesha kuwa mmiliki kamili wa masoko hayo, kwa bahati nzuri wafanyabiashara katika masoko hayo wakawa ngangari nakusababisha vurugu kubwa siku ya makabidhiano ambapo magari yalichomwa moto na mali nyingi kuharibiwa, na safari hii ilikuwa ni Mseveni kuingilia kati na kufutilia mbali mikataba ya kimangumashi.
Hata chuo chake KIU Kampala main campus kilianza kwa misukosuko kati yake na mamlaka zinazousika na vyuo vya elime ya juu,baadhi ya matatizo ilikuwa ni vitivo kutokidhi viwango kutokuwa na wahadhiri wakutosha na wakati mwingine viwango vyao kuwa chini.
Lakini kwa ukaribu wake na rais ikawa ni funika kombe mwanaharamu apite.
Kwa ufupi huyo ndie mwenye vyuo vya KIU hata hapa kwetu naona mambo ni yale yale mara waadhiri hawalipwi mishahara kwa miezi tisa mara wanachuo kulazimishwa kulipia ada kwa US Dollar.
Mamlaka zinazohusika hazina budi kumfuatilia huyu bwana kwa karibu vinginevyo wa Tanzania tutaula wa chuya, kwa jeuri anayoonyesha uenda amekuja na kimemo toka kwa Mseveni kwenda kwa mkuu wa kaya.