Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini waandamanaji watamuonea huruma huyo singo mazaAmeamua kufanya kama huyu indirectly.
Lasivyo unaweza kuamka hauna kitu. LOLView attachment 1472123
Ameamua kufanya kama huyu indirectly.
Lasivyo unaweza kuamka hauna kitu. LOLView attachment 1472123
Issue ni wages na wala si kuhusu black lives matter
Dah, lkn kuna mambo mengine hawa wazungu wanafanya huwezi kuamini kuwa wao ndio wamevumbua vitu mbalimbali tunavyotumia ktk dunia hii leo. It's very disturbing.
Huyu amejiongeza vizuri[emoji23]Ameamua kufanya kama huyu indirectly.
Lasivyo unaweza kuamka hauna kitu. LOLView attachment 1472123
Hapo mwisho wanaimbaje sijamanya vizuri
Dah, lkn kuna mambo mengine hawa wazungu wanafanya huwezi kuamini kuwa wao ndio wamevumbua vitu mbalimbali tunavyotumia ktk dunia hii leo. It's very disturbing.
Mambo mengi wanayovumbua na sisi tunaweza Ila mfumo wa elimu waliotubebesha Africa ni kandamizi na ni wa kikolon hivyo syllabus zimebanwa ndio maana hatuwezi kugundua ila tunafata wanayofanya wao tu..ukolon bado upo
Huwezi kukwepa kuvitumia so long as upo hapa duniani.mkuu usivitumie tu
Kwani nani katulazimisha kufuata hiyo syllabus.Mambo mengi wanayovumbua na sisi tunaweza Ila mfumo wa elimu waliotubebesha Africa ni kandamizi na ni wa kikolon hivyo syllabus zimebanwa ndio maana hatuwezi kugundua ila tunafata wanayofanya wao tu..ukolon bado upo
Huwezi kukwepa kuvitumia so long as upo hapa duniani.
Kwani nani katulazimisha kufuata hiyo syllabus.
Bilashaka bado hujamfahamu alie tumiwa huo ujumbe..Sitoshangaa huyo aliyeandika huo ujumbe akiwa ni mtu mweusi!
Hayo mambo huwa yanatokea sana.
Mtu anaandika kitu halafu anajifanya ni mtu mwingine: yaani, mtu mweusi anajiandikia ujumbe wenye maneno ya kibaguzi na kudai katumiwa huo ujumbe na Wazungu kumbe ni yeye mwenyewe.
The internet is a cesspool!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si kwa makundu hayo
Aina hii ya maswali husikika sana kwa wakazi wa tandale uzuriacha shutuma zisizo na msingi, kwani mulizuiwa kubadilisha huo mfumo wa elimu?