Nadhani hizi ni mbinu za kuhadaa watu ili wasiende kwenye mikutano ya chadema kwa sababu tangu jana usiku walisema kuna wasani wanakuja akina marlw, mwasiti nk mara Birali atakuwepo leo Asubuhi nimesikia wanasema mkapa anakuja....sasa ni saa 2:45 sijawasikia au wanakuja usiku..