Mmiliki wa media na video vixen wazua taharuki airport

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
1,885
Reaction score
4,012
Ilikuwa ni patashika katika lile jiwanja bora kabisa la ndege barani Afrika yaani Julius nyerere airport pale mmiliki wa vyombo vya habari vinavyobamba downtown bwana le mutuz alipoonekana na video queen aitwaye Tunda wakiwa wamekumbatina katika pozi tata kiasi cha raia kuacha shughuli zao na kuanza kuwapiga picha huku wakiwasifia kwamba they make a nice couple.
Haijajulikana mara moja walikuwa wanaelekea wapi lakini kuna mmbeya mmoja pembeni aliniambia ya kwamba inawezekana wanaeleka south africa kwenye tuzo za MAMA MTV baada ya uongozi wa MTV kugundua kosa walilolifanya la kutomuweka LEMUTUZ kwenye nominees wa personality of the year,hivyo wameamua kumpooza kwa kumpa heshima ya kwenda kutoa tuzo na ameahidiwa kupewa standing ovation kutokana na kazi kubwa anayofanya kwenye mitandao including kushirikina na polisi wa osterbay kuwakamata ma bully wa mtandao yaani wazee wa ku troll.
Update zaidi juu ya habari hii ya owner wa swahili tv itakujia,stay tuned
 
Huyo kwenye picha Ni demu wake? Kweli age is just a number, if you are Le Mutuz.
 
Lemutz namuelewaga sana sema sometimes huwa ananivuruga simwelewi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…