Mmiliki wa mtandao wa facebook Mark Zuckerberg ala Ugali kwa samaki

Wanaume wa Dar bhna mnakereka nini ..?
Au kwa kuwa jamaa hakula chenu pendwa chips yai..?
 
Watu bana!

Si anakula chakula tu hapo..

Sasa lipi la ajabu?
jamani, kwanza sio kawaida mzungu kula ugali, hata wanao tu home ugali issue, pili, kwa mtu maarufu kama mark kula ugali tayari umeshapanda bei, pia mindset za watalii zitabadilika wataamini kuwa kunachakula kizuri africa, sasa watalii tutawaonyesha picha ya mark na kuwaambia ugali kwa sato ni poa sana hata Mark aliwahi kula, naimani hata mama cliton safari hii akija tutamtengea ugali kwa sato.
 
Tukimwona Bhakresa au Mengi yuko china akila chura itakuwa issue, lakini tutajua kumbe ni watamu ndio maana wamekula, hivyo hivyo kwa mark watalii tutawaonyesha picha yake akila nao wataamini ni kitamu sana.
 

Hata rais mtaajiwa pia (trump) itabidi aje ale hii kitu akishashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…