Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
[TABLE="width: 491"]
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]JAMES ISAME [50] mmiliki wa nyumba ya kulala wageni iitwayo Bongo Star Lodge iliyopo Kawe Ukwamani jijini Dar es Salaam, amekamatwa kwa kukutwa na kichwa cha binadamu kinachosadikiwa kuwa ni cha mlemavu wa ngozi [ablino]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Kufuatia hiyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni linamshikilia kutoa maelezo kuhusiana na tukio hilo
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela amesema mfanyabiashara huyo alikamatwa juzi majira ya saa 2:45 usiku baada ya wasamaria wema kutoa taarifa kuhusiana na tukio hilo
Kamanda Kenyela amesema mara baada ya taarifa hiyo kutolewa askari polisi walifika mahali hapo kwa ajili ya upekuzi katika nyumba hiyo ya kulala wageni iliyoambatana na baa
Amesema, walifanikiwa kukuta kichwa hicho cha binadamu kikiwa kimewekwa juu ya ukuta wa choo kikiwa kimevingirishwa katika mfuko wa rambo
Ni kweli tumekikuta kichwa hicho kikiwa kimeninginizwa ukuta wa chooni,na tulikigundua kuwa ni cha binadamu baada ya kuona nywele na meno
Kamanda Kenyela alizidi kufafanua kuwa katika uchunguzi walioufanya walibaini kichwa hicho kilikuwa ni cha mtoto ambacho bado hawajabaini ni cha jinsia gani
Hata hivyo Kamanda Kenyela alisema uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea
Mmiliki wa nyumba ya kulala wageni akamatwa na kichwa cha albino[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR="bgcolor: #E1E1E1"]
[TD]JAMES ISAME [50] mmiliki wa nyumba ya kulala wageni iitwayo Bongo Star Lodge iliyopo Kawe Ukwamani jijini Dar es Salaam, amekamatwa kwa kukutwa na kichwa cha binadamu kinachosadikiwa kuwa ni cha mlemavu wa ngozi [ablino]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Kufuatia hiyo Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni linamshikilia kutoa maelezo kuhusiana na tukio hilo
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela amesema mfanyabiashara huyo alikamatwa juzi majira ya saa 2:45 usiku baada ya wasamaria wema kutoa taarifa kuhusiana na tukio hilo
Kamanda Kenyela amesema mara baada ya taarifa hiyo kutolewa askari polisi walifika mahali hapo kwa ajili ya upekuzi katika nyumba hiyo ya kulala wageni iliyoambatana na baa
Amesema, walifanikiwa kukuta kichwa hicho cha binadamu kikiwa kimewekwa juu ya ukuta wa choo kikiwa kimevingirishwa katika mfuko wa rambo
Ni kweli tumekikuta kichwa hicho kikiwa kimeninginizwa ukuta wa chooni,na tulikigundua kuwa ni cha binadamu baada ya kuona nywele na meno
Kamanda Kenyela alizidi kufafanua kuwa katika uchunguzi walioufanya walibaini kichwa hicho kilikuwa ni cha mtoto ambacho bado hawajabaini ni cha jinsia gani
Hata hivyo Kamanda Kenyela alisema uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea
Mmiliki wa nyumba ya kulala wageni akamatwa na kichwa cha albino[/TD]
[/TR]
[/TABLE]