[emoji599]Klabu ya PSG imepanga kumpa ofa ya miaka 10 yenye Thamani zaidi €1B kwa kila msimu mmoja, Emir wa Qatar tayari ameshaidhinisha ofa hiyo,[emoji857]
Kocha wa sasa hamuhitaji, tatizo Mbappe anajiona yy mkubwa kuliko club kwa future ya timu bora wa mwache aende Madrid kwani mchezaji hatakiwi kuwa mkubwa kuliko timu.